D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 2,902 Reaction score 1,875 Aug 16, 2022 #41 Leteee Mdhunguuuuuuuuuuuuuuuuuuui
Nahonyo JF-Expert Member Joined Dec 28, 2012 Posts 5,550 Reaction score 5,379 Aug 16, 2022 #42 Mgagaa na Upwa said: Mbona manara humu makolo uwa mnamuita majina yasiyostahili kutokana maradhi yake ngozi Click to expand... Watu wa yanga ndiyo watu wa kwanza, kuchapisha vikaragosi vinavyomfananisha manara na nguruwe. Hata hivyo manara, alishawahi kumsema Ahmed Aliy, kwa maumbile yake, eti anabana Sauti.
Mgagaa na Upwa said: Mbona manara humu makolo uwa mnamuita majina yasiyostahili kutokana maradhi yake ngozi Click to expand... Watu wa yanga ndiyo watu wa kwanza, kuchapisha vikaragosi vinavyomfananisha manara na nguruwe. Hata hivyo manara, alishawahi kumsema Ahmed Aliy, kwa maumbile yake, eti anabana Sauti.
mwandende JF-Expert Member Joined Feb 16, 2017 Posts 11,005 Reaction score 20,805 Aug 16, 2022 #43 Halafu hata Manara nae anakejeli mlete mdhungu,,!! Ajabu kweli. Sent using Jamii Forums mobile app