Say what you mean, mean what you say.

Say what you mean, mean what you say.

Okay, basi kumbe naweza kuwa si muongo sana.

Kutokusema yote kuhusu wewe haina maana wewe siyo honest. Wewe hapa unachozungumzia ni kuwa muwazi (open) au kutokuwa tayari kusema yote ama mengi kuhusu wewe (reticent).

Honesty inahusisha kutokusema ukweli/ kusema uongo. Mfano nikikuuliza wewe umeshalala na wanaume wangapi? Ukiniambia umeshalala na wanaume 7 wakati unajua fika umelala na wanaume 150 hapo utakuwa unadanganya.

Lakini ukisema 'kwa sasa nisingependa kujibu hilo swali' hapo utakuwa hujasema uongo bali hujataka tu kufunguka na kusema ukweli.
 
Why is it so hard for folks to live up to it?

Is it because we as human beings are inherently dishonest?
Dont make such a sweeping generalizations. What kind of research do you need to come to such a conclusion???
 
Yaani ni kama umeniwahi, nilitaka kuanzisha thread hasa yenye kuwalenga wanaume kwa kuwauliza, "ni lini tuamini wanachokisema?"

Inachosha na inaumiza sana mtu anapotumia maneno makubwa kama 'you are the love of my life' napata shida sana niamini au niishi kimachale machale. I real wish tusingesema tusivyoviamini. I rarely do!

Mbona wapo hata wanawake ambao wako hivyo...sasa kwa nini wewe ulitaka kuwalenga wanaume tu?

Yaani unakuta wanakuambia 'you are my all and all' na maneno mengine kama hayo na kwa wakati huo huo wana wanaume wengine.

Halafu sasa ukute huyo mdada anajua kuandika vina viwili vitatu....mbona utakoma. Utaandikiwa mistari hadi ujione wewe ndo wewe kumbe wapi bana...hauko peke yako.

So it goes both ways miss Kaunga.
 
Dont make such a sweeping generalizations. What kind of research do you need to come to such a conclusion???

First of all, I didn't make any sweeping generalizations. I asked.

Perhaps you missed the question marks at the end of my sentences. Next time pay attention to what you read, okay?

Secondly, not everything in life needs academic-like research.

Life experiences and keen observation of human behavior are just enough to let you know what's going on without having to crunch any numbers.
 
Why is it so hard for folks to live up to it?

Is it because we as human beings are inherently dishonest?


i wonder if i am the only one
who understand exactly what u mean...

kuna watu wanaitwa pathological liers
the only time they are telling the truth is when they confess that they lied...
labda we are all natural pathological liers ..are we?
 
i wonder if i am the only one
who understand exactly what u mean...

kuna watu wanaitwa pathological liers
the only time they are telling the truth is when they confess that they lied...
labda we are all natural pathological liers ..are we?

That's why you are the Boss.
 
I'd say Human beings are intrinsically honest, that's why we feel good when we act honestly. We really have to think about how to lie, and put an arrangement around it. this is why it is harder to lie than to say the truth.

The reason why people lie anyway, and say things they don't mean, is mostly pressure from outside and weak personality. Most of them (IMO) want to appear like somebody they are not, want to promise things they cannot deliver because they think that the promise they make can open up doors that would otherwise remain closed.

I think that the easiest way to be honest is to contently be yourself and resist pressure from the outside. when you can't do something because it is against your principles or simply because you are not capable of doing it (Udhaifu) then say it. I also think that the easiest way to get people around you to be honest with you is to lead by example and keep your expectations as low as possible, encourage honest behaviors and promote antes honesty than post apologies

In any case I always remember that nobody will blame me for trying to surprise and fail as you attempt it, but people will blame me for promising something and fail to deliver.
 
I'd say Human beings are intrinsically honest, that's why we feel good when we act honestly. We really have to think about how to lie, and put an arrangement around it. this is why it is harder to lie than to say the truth.

The reason why people lie anyway, and say things they don't mean, is mostly pressure from outside and weak personality. Most of them (IMO) want to appear like somebody they are not, want to promise things they cannot deliver because they think that the promise they make can open up doors that would otherwise remain closed.

I think that the easiest way to be honest is to contently be yourself and resist pressure from the outside. when you can't do something because it is against your principles or simply because you are not capable of doing it (Udhaifu) then say it. I also think that the easiest way to get people around you to be honest with you is to lead by example and keep your expectations as low as possible, encourage honest behaviors and promote antes honesty than post apologies

In any case I always remember that nobody will blame me for trying to surprise him and fail as you attempt it, but people will blame me for promising something and fail to deliver.

you can say that again..
but what about 'too much truth is boring'????
ever heard of that?
 
you can say that again..
but what about 'too much truth is boring'????
ever heard of that?
Then i'd be borring and feel happy about it because that is better than being a liar and feel tortured about it. Kila saa unakaa ukijiuliza why you said that and you will have to live with the guilt or face the embarrassment of confessing that you lied. Bora nionekane boring but honest.
Mbaya zaidi ni kwamba once you lied about something, every time you have to talk about it again you need to be imaginative and invent a plausible update around it. Is it worth it?

Roulette, have you ever lied?

Yes, like most of us I have. But I try to avoid it as much as I can.
 
Then i'd be borring and feel happy about it because that is better than being a liar and feel tortured about it. Kila saa unakaa ukijiuliza why you said that and you will have to live with the guilt or face the embarrassment of confessing that you lied. Bora nionekane boring but honest.



Yes, like most of us I have. But I try to avoid it as much as I can.


sio kwamba kuna types of lying ?

kuna uwongo na udanganyifu.......
mtu akisema ikifika december nikiwa na pesa nitakununulia gari
ikifika dec akasema nimekosa pesa....is that lies or unkept promise?
 
If Adam and Eve could not maintain honestness right in front of God,who are we mere mortals to adhere. The grim reality is no breathing soul is honest
 
sio kwamba kuna types of lying ?

kuna uwongo na udanganyifu.......
mtu akisema ikifika december nikiwa na pesa nitakununulia gari
ikifika dec akasema nimekosa pesa....is that lies or unkept promise?

Uongo na udanganyifu havina tofauti kubwa.

Na mtu akisema "ikifika december nikiwa na pesa nitakununulia gari" halafu December ifike akawa hana pesa na hivyo kushindwa kukununulia gari huo siyo uongo.

Operative word hapo ni "nikiwa". December imefika mtu hana pesa....hiyo ni ahadi ambayo haijatimizika lakini si uongo kwa sababu alisema kabisa akiwa nazo atakununulia.
 
If Adam and Eve could not maintain honestness right in front of God,who are we mere mortals to adhere. The grim reality is no breathing soul is honest

no breathing soul is honest?

dishonesty is also disrespecting of yourself....

if you respect yourself that much.....you will find it difficult and disturbing to be dishonest...
 
sio kwamba kuna types of lying ?

kuna uwongo na udanganyifu.......
mtu akisema ikifika december nikiwa na pesa nitakununulia gari
ikifika dec akasema nimekosa pesa....is that lies or unkept promise?
If he meant what he said when he said it then it is not a lie, it is a unfulfilled promise (another ugly thing people do because they can't resist external pressure when they over-promise). But if he knew he would not get the money because he does not have enough revenues for example, and did it to impress or to look generous or for whatever reason then he lied.
 
Kutokusema yote kuhusu wewe haina maana wewe siyo honest. Wewe hapa unachozungumzia ni kuwa muwazi (open) au kutokuwa tayari kusema yote ama mengi kuhusu wewe (reticent).

Honesty inahusisha kutokusema ukweli/ kusema uongo. Mfano nikikuuliza wewe umeshalala na wanaume wangapi? Ukiniambia umeshalala na wanaume 7 wakati unajua fika umelala na wanaume 150 hapo utakuwa unadanganya.

Lakini ukisema 'kwa sasa nisingependa kujibu hilo swali' hapo utakuwa hujasema uongo bali hujataka tu kufunguka na kusema ukweli.
Nyani Ngabu kuna vitu vingine ni busara kudanganya .....ukisema ukweli kila kitu kwenye haya maisha jamii itakuona mwendawazimu !
 
Last edited by a moderator:
i wonder if i am the only one
who understand exactly what u mean...

kuna watu wanaitwa pathological liers
the only time they are telling the truth is when they confess that they lied...
labda we are all natural pathological liers ..are we?

lol......aisee.....sijajuaga kama kuna watu wa hivyo!
 
Back
Top Bottom