Sayansi bila kuwa na historia ya sayansi

Sayansi bila kuwa na historia ya sayansi

zuberi

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2009
Posts
204
Reaction score
16
Ni muda mrefu tumekuwa tuna zungumzia sayansi hapa Tanzania lakini nimegundua kuwa hatuizungumzii sayansi katika mazingira ya kuwa pata wanasayansi na wavumbuzi wa kisanyansi bali tunazungumzia masomo ya sayansi.

ninacho kishauri ili tuwe na wanasanyansi tuna hitaji kuwa na historia ya sayansi ni lazima vijana waambukizwe historia ya sanyansi ili waweze kwanza kuwa na ari ya kuipenda sayansi husika,kujua hesabu tu na masomo mengine ya sayansi siyo kuwa mwana sanyansi.
 
Back
Top Bottom