Taarifa ya WHO inasema kuwa maambukizi ya corona kwa wiki hii pekee yameshuka kwa 16%, na vifo kwa wiki hii pekee vimeshuka kwa 10%.
Tuiangazie Israel kama mfano wa kuigwa.
Israel ni Taifa dogo kwa ukubwa wa eneo la nchi na kwa idadi ya watu. Lakini Taifa hili ni la kwanza Duniani kwa ugunduzi wa Kisayansi. Wagunduzi wengi Duniani ni Waisrael au watu wenye asili ya Israel.
Covid 19 haikuiacha Israel, walipata maambukizi, na wapo waliokufa. Mpaka leo idadi ya walioambukizwa ni 744,513, waliokwishafariki ni 5,526, waliokwishapona ni 693,730, ambao bado wana virusi 45,257, na kati ya hao wenye virusi, ni 872 tu ndio wanaumwa hasa.
Hii ina maana kati ya wote waliopata maambukizi ni 0.7% ndio waliofariki. Wastani wa Dunia ni kwamba katika wote wanaoambukizwa corona, 3.5% hufariki.
Kwa kwa sasa, ni rahisi mara 10 zaidi mtanzania kufariki kwa malaria kuliko mwananchi wa Israel kufariki kwa Corona. Israel kwa sasa imeweza kupunguza vifo kwa 94%. Hii ina maana kuwa kati ya wote wanaoambukizwa corona, wanaofariki hawafiki hata 0.1%, yaani chini ya mtu 1 kati ya watu 1,000 walioambukizwa.
Siri ya Mafanikio
Israel, walijitahidi kuwapima karibia watu wao wote ili kujua ukubwa wa tatizo, na wakati wote wakiwa wanaendelea na majaribio mbalimbali ya management.
Kosa la kwanza la Magufuli ilikuwa kuzuia upimaji. Hilo lilikuwa kosa kubwa sana ambalo hakuna mwansayansi anaweza kulifanya maana huwezi kutambua ukubwa wa tatizo na wala huwezi kuwa na mpango wowote wa kukabiliana na tatizo usilolijua. Hapa Magufuli amethibitisha alisomea Sayansi lakini ameshindwa kuwa mwanasayansi. Sayansi ni data na utafiti.
Walichogundua Waisrael ni kuwa anayewekwa kwenye the Jewish Covid 19 Management Protocil ndani ya siku 5 za mwanzo tangu maambukizi, uwezekano wa kufa ni 0%. Swali kwa Magufuli, hata tukiujua ukweli huu, tutawatambua vipi wenye maambukizi ili waanze kupewa matibabu kabla hawajaanza kuugua?
Utafiti wa Waisrael uligundua kuwa, wenye maambukizi, siku 11 tangu maambukizi kurudi nyuma, hata kama wameanza kuugua, wakiwekwa kwenye the Jewish Covid 19 Anagement Pritocol, uwezekano wa kushindwa kupumua ni 0%, na usiposhindwa kupumua, uwezekano wa kufa kwa Covid 19 ni 0%. Vifo vingi vinawapata walioingia hatua ya kushindwa kupumua, ambayo huanza kutokea siku ya 18 tangu ulipopata maambukizi.
Tufanye Nini
Magufuli inaonekana amekataa kabisa kuwasaidia Watanzania, amewaacha kila mmoja ahangaike kwa utashi wake.
Kwa kuwa Serikali haitaki kuwasaidia wananchi, iziruhusu hospitali binafsi kununua vipimo na kuweza kufanya vipimo kwa wanaotaka. Na wale watakaokuwa positive, hospitali na NGOs ziwafundishe wananchi the Jewish Covid 19 Management Protocol. Hii protocol ni rahisi. Hutahitaji kwenda hospitali wala kumwona daktari. Tutaokoa maisha ya walio wengi.
Jamani tunakufa kwa sababu ya ujinga. Na tukifa kwa ujinga, hata Mungu hatatupokea. Ujinga na upumbavu siyo sehemu ya utakatifu. Mungu hujivunia watu werevu. Mungu ametushirikisha kwenye uumbaji, uponyaji na katika wokovu.
Mbarikiwe sana wana wa Mungu
Note:
Watu wengi wameomba Covid 19 Management Protocol wanayotumia Waisrael. Kwa sasa mataifa mengi wanaitumia, na imeidhinishwa na FDA. Nimeiambatanisha hapa. Nadhani inaeleweka, kama kuna haja ya kuitafsiri kwa Kiswahili, au kama kuna mahali unahitajika ufafanuzi tuelezane.
Shida moja kubwa kwa sasa, dawa hii ya ivermectin imeadimika ghafla, na ukiipata, watu wa pharmacy wameipandisha bei zaidi ya mara 5 ya bei yake ya kawaida. Wauzaji tafadhali kuweni wenye huruma, msishiriki mauaji kwa kuwafanya watu washindwe kuinunua.
Vijana tafuteni dawa hii, wapeni wazee wenu, wanywe kam kinga, msisubiri waugue.
Kwa kinga:
Kunywa 12mg siku ya kwanza, 12mg siku y 3, na 12mg kila baada ya wiki 2. Tutapunguza vifo vingi tukifanya hivyo.
Kwa tiba:
Kunywa 12mg za ivermectin kwa siku 5. Dawa nyingine kama vitamins na doxycyclineni ni za kuongezea ii kuongeza spidi ya uponyaji na kuzuia usiingie kwenye kushindwa kupumua (kama umechelewa kuanza kupata tiba) lakini hiyo ivermectin pekee yake ina uwezo wa kukuponya alimradi usiwe umeingia hatua ya kushindwa kupumua.
Ujumbe huu ubebe baraka za Mungu maana kwa kupitia ujumbe huu nimeshiriki katika kazi ya Mungu ya uponyaji, ambao ni wajibu wa kila aliye na Roho wa Mungu.
Tuiangazie Israel kama mfano wa kuigwa.
Israel ni Taifa dogo kwa ukubwa wa eneo la nchi na kwa idadi ya watu. Lakini Taifa hili ni la kwanza Duniani kwa ugunduzi wa Kisayansi. Wagunduzi wengi Duniani ni Waisrael au watu wenye asili ya Israel.
Covid 19 haikuiacha Israel, walipata maambukizi, na wapo waliokufa. Mpaka leo idadi ya walioambukizwa ni 744,513, waliokwishafariki ni 5,526, waliokwishapona ni 693,730, ambao bado wana virusi 45,257, na kati ya hao wenye virusi, ni 872 tu ndio wanaumwa hasa.
Hii ina maana kati ya wote waliopata maambukizi ni 0.7% ndio waliofariki. Wastani wa Dunia ni kwamba katika wote wanaoambukizwa corona, 3.5% hufariki.
Kwa kwa sasa, ni rahisi mara 10 zaidi mtanzania kufariki kwa malaria kuliko mwananchi wa Israel kufariki kwa Corona. Israel kwa sasa imeweza kupunguza vifo kwa 94%. Hii ina maana kuwa kati ya wote wanaoambukizwa corona, wanaofariki hawafiki hata 0.1%, yaani chini ya mtu 1 kati ya watu 1,000 walioambukizwa.
Siri ya Mafanikio
Israel, walijitahidi kuwapima karibia watu wao wote ili kujua ukubwa wa tatizo, na wakati wote wakiwa wanaendelea na majaribio mbalimbali ya management.
Kosa la kwanza la Magufuli ilikuwa kuzuia upimaji. Hilo lilikuwa kosa kubwa sana ambalo hakuna mwansayansi anaweza kulifanya maana huwezi kutambua ukubwa wa tatizo na wala huwezi kuwa na mpango wowote wa kukabiliana na tatizo usilolijua. Hapa Magufuli amethibitisha alisomea Sayansi lakini ameshindwa kuwa mwanasayansi. Sayansi ni data na utafiti.
Walichogundua Waisrael ni kuwa anayewekwa kwenye the Jewish Covid 19 Management Protocil ndani ya siku 5 za mwanzo tangu maambukizi, uwezekano wa kufa ni 0%. Swali kwa Magufuli, hata tukiujua ukweli huu, tutawatambua vipi wenye maambukizi ili waanze kupewa matibabu kabla hawajaanza kuugua?
Utafiti wa Waisrael uligundua kuwa, wenye maambukizi, siku 11 tangu maambukizi kurudi nyuma, hata kama wameanza kuugua, wakiwekwa kwenye the Jewish Covid 19 Anagement Pritocol, uwezekano wa kushindwa kupumua ni 0%, na usiposhindwa kupumua, uwezekano wa kufa kwa Covid 19 ni 0%. Vifo vingi vinawapata walioingia hatua ya kushindwa kupumua, ambayo huanza kutokea siku ya 18 tangu ulipopata maambukizi.
Tufanye Nini
Magufuli inaonekana amekataa kabisa kuwasaidia Watanzania, amewaacha kila mmoja ahangaike kwa utashi wake.
Kwa kuwa Serikali haitaki kuwasaidia wananchi, iziruhusu hospitali binafsi kununua vipimo na kuweza kufanya vipimo kwa wanaotaka. Na wale watakaokuwa positive, hospitali na NGOs ziwafundishe wananchi the Jewish Covid 19 Management Protocol. Hii protocol ni rahisi. Hutahitaji kwenda hospitali wala kumwona daktari. Tutaokoa maisha ya walio wengi.
Jamani tunakufa kwa sababu ya ujinga. Na tukifa kwa ujinga, hata Mungu hatatupokea. Ujinga na upumbavu siyo sehemu ya utakatifu. Mungu hujivunia watu werevu. Mungu ametushirikisha kwenye uumbaji, uponyaji na katika wokovu.
Mbarikiwe sana wana wa Mungu
Note:
Watu wengi wameomba Covid 19 Management Protocol wanayotumia Waisrael. Kwa sasa mataifa mengi wanaitumia, na imeidhinishwa na FDA. Nimeiambatanisha hapa. Nadhani inaeleweka, kama kuna haja ya kuitafsiri kwa Kiswahili, au kama kuna mahali unahitajika ufafanuzi tuelezane.
Shida moja kubwa kwa sasa, dawa hii ya ivermectin imeadimika ghafla, na ukiipata, watu wa pharmacy wameipandisha bei zaidi ya mara 5 ya bei yake ya kawaida. Wauzaji tafadhali kuweni wenye huruma, msishiriki mauaji kwa kuwafanya watu washindwe kuinunua.
Vijana tafuteni dawa hii, wapeni wazee wenu, wanywe kam kinga, msisubiri waugue.
Kwa kinga:
Kunywa 12mg siku ya kwanza, 12mg siku y 3, na 12mg kila baada ya wiki 2. Tutapunguza vifo vingi tukifanya hivyo.
Kwa tiba:
Kunywa 12mg za ivermectin kwa siku 5. Dawa nyingine kama vitamins na doxycyclineni ni za kuongezea ii kuongeza spidi ya uponyaji na kuzuia usiingie kwenye kushindwa kupumua (kama umechelewa kuanza kupata tiba) lakini hiyo ivermectin pekee yake ina uwezo wa kukuponya alimradi usiwe umeingia hatua ya kushindwa kupumua.
Ujumbe huu ubebe baraka za Mungu maana kwa kupitia ujumbe huu nimeshiriki katika kazi ya Mungu ya uponyaji, ambao ni wajibu wa kila aliye na Roho wa Mungu.