Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sayansi katika siasa hutumiwa na vyama vya siasa na wanasiasa kwa namna nyingi.
ambazo, ni pamoja na kueneza itikadi, sera, mipango na mikakati yake kwa wananchi, kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyimbo nzuri zenye ujumbe, sauti, midundo na maneno ya vukutia kuskia, kueleweka na kuimbika kirahisi kwa wanachama na wanainchi kwa ujumla.
kwenye hili, Chama Cha Mapunduzi - CCM wamefanya vizuri sana, na bado wanaendelea kutumia nyenzo hii muhimu sana ya kisayansi katika siasa, kueneza itikadi, sera, dhamira, uelekeo, mipango, nia na matarajio yake kwa wanainchi na waTanzania kwa ujumla. Lakini hutumia kufikisha jumbe mbalimbali ambazo, kama chama wanaona zinafaa kufahamika, kueleweka vema na kuishi katika fikra, mioyoyoni na kwenye vyinywa vya wanachama wake na umma kwa ujumla.
Miongoni mwa nyimbo maridadi, mahiri, muhimu na kali sana za ccm, ni pamoja na zile za TOT PLUS kama vile, CCM namba One, Kazi zinazofanywa na chama big up ccm, Wajumbe Tushikamae Tushike Dola, Sasa kumekucha Jogoo Limewika Dodoma, Tumeipenda wenyewe CCM mbele kwa mbele kwa uchache tu.
Kila mahali CCM inapokusudia kufanya jambo lake, miongoni mwa nyimbo hizo nilizozitaja au nyingunezo, hutumika kuhamasisha, kusisimua, kuvutia na kukusanya wanachama na wananchi katika eneo husika.
Kuna vyama vya siasa kipindi fulani walianza kuiga mtindo huu wa kusayansi kujitambulisha, kujieneza na kuimpact identity, sera na mipango, yao ndani ya fikra na mioyo ya wanachama wao na waTanzania kwa ujumla. Sifahamu walikwamia wapi hali ya kua walikua wanakuja vizuri kwenye eneo hili, licha ya kua na nyimbo chache ambazo pia, hata hivyo hazikua na midundo na maneno ya kuvitia sana kuyasikia na kuyaimba. Kikubwa tu ni kwamba walianza kutuamia fursa hii ya kujitambilisha na kueneza itikadi zao kwa nyimbo vizuri.
Njia nyingine za kisayansi ambazo vyama vya siasa hutumia kujieneza ambazo ni pamoja na vyombo vya habari, mitandao ya kijamii, mashairi, kwaya, michezo, makongamano, semina, mikutano ya ndani na mikutano ya hadhara, maandamamo, migomo na siku hizi kuna hii mpya ya mihemko, ambayo pia inawatambilisha vizuri.
kula chuma hicho kwa kifupi mambo ya hayati capt. John Komba
ambazo, ni pamoja na kueneza itikadi, sera, mipango na mikakati yake kwa wananchi, kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na nyimbo nzuri zenye ujumbe, sauti, midundo na maneno ya vukutia kuskia, kueleweka na kuimbika kirahisi kwa wanachama na wanainchi kwa ujumla.
kwenye hili, Chama Cha Mapunduzi - CCM wamefanya vizuri sana, na bado wanaendelea kutumia nyenzo hii muhimu sana ya kisayansi katika siasa, kueneza itikadi, sera, dhamira, uelekeo, mipango, nia na matarajio yake kwa wanainchi na waTanzania kwa ujumla. Lakini hutumia kufikisha jumbe mbalimbali ambazo, kama chama wanaona zinafaa kufahamika, kueleweka vema na kuishi katika fikra, mioyoyoni na kwenye vyinywa vya wanachama wake na umma kwa ujumla.
Miongoni mwa nyimbo maridadi, mahiri, muhimu na kali sana za ccm, ni pamoja na zile za TOT PLUS kama vile, CCM namba One, Kazi zinazofanywa na chama big up ccm, Wajumbe Tushikamae Tushike Dola, Sasa kumekucha Jogoo Limewika Dodoma, Tumeipenda wenyewe CCM mbele kwa mbele kwa uchache tu.
Kila mahali CCM inapokusudia kufanya jambo lake, miongoni mwa nyimbo hizo nilizozitaja au nyingunezo, hutumika kuhamasisha, kusisimua, kuvutia na kukusanya wanachama na wananchi katika eneo husika.
Kuna vyama vya siasa kipindi fulani walianza kuiga mtindo huu wa kusayansi kujitambulisha, kujieneza na kuimpact identity, sera na mipango, yao ndani ya fikra na mioyo ya wanachama wao na waTanzania kwa ujumla. Sifahamu walikwamia wapi hali ya kua walikua wanakuja vizuri kwenye eneo hili, licha ya kua na nyimbo chache ambazo pia, hata hivyo hazikua na midundo na maneno ya kuvitia sana kuyasikia na kuyaimba. Kikubwa tu ni kwamba walianza kutuamia fursa hii ya kujitambilisha na kueneza itikadi zao kwa nyimbo vizuri.
Njia nyingine za kisayansi ambazo vyama vya siasa hutumia kujieneza ambazo ni pamoja na vyombo vya habari, mitandao ya kijamii, mashairi, kwaya, michezo, makongamano, semina, mikutano ya ndani na mikutano ya hadhara, maandamamo, migomo na siku hizi kuna hii mpya ya mihemko, ambayo pia inawatambilisha vizuri.
kula chuma hicho kwa kifupi mambo ya hayati capt. John Komba
