Anitta Edward
New Member
- Aug 19, 2022
- 1
- 0
UTANGULIZI;
Tangu utoto nimesikia usemi “elimu ni ufunguo wa maisha”
Tunakuwa tukiwa na ndoto kubwa na kuamini elimu ndio ufunguo
wao.Lakini je funguo zimebadilika au mlango umekuwa mbovu?
Elimu ni njia ambayo jamii hutumia kupitisha maarifa,ujuzi,taarifa kutoka kizazi kimoja au kingine
Elimu ni nyanja kubwa inayotumika kuleta mabadiliko katika jamii,lakini je elimu yety inakidhi mahitaji ya jamii yetu?
Jamii yetu inahitaji maarifa na vitendo kwa pamoja ili tuweze kuvuka hatua moja kwenda nyingine lakini elimu yetu ipokwa mfumo wa nadharia zaidi kuliko vitendo.
Tangu utoto nimesikia usemi “elimu ni ufunguo wa maisha”
Tunakuwa tukiwa na ndoto kubwa na kuamini elimu ndio ufunguo
wao.Lakini je funguo zimebadilika au mlango umekuwa mbovu?
Elimu ni njia ambayo jamii hutumia kupitisha maarifa,ujuzi,taarifa kutoka kizazi kimoja au kingine
Elimu ni nyanja kubwa inayotumika kuleta mabadiliko katika jamii,lakini je elimu yety inakidhi mahitaji ya jamii yetu?
Jamii yetu inahitaji maarifa na vitendo kwa pamoja ili tuweze kuvuka hatua moja kwenda nyingine lakini elimu yetu ipokwa mfumo wa nadharia zaidi kuliko vitendo.
Upvote
0