Sayansi na uchawi !

Sayansi na uchawi !

Eiyer

Sayansi inaamini vitu ambavyo vinaweza kuhisiwa na milango 5 ya fahamu.Kuna watu wanaamin kuna milango 8 ya fahamu,
pia uchawi ni tech ya hali ya juu hata inauwezo wa ku fool vipimo vya ki sayansi.
 
Last edited by a moderator:
Uchawi upo anayebisha hajaona ndio maana . Mi kuna ndugu yangu alikuwa na kesi ya mauaji mtaalamu akaletwa home alituma jin likaleta fail kutoka mahakamani tukalichoma moto japo yeye alisema kuna option ya kuchoma moto au kunyofoa nyaraka. Baadae kesi ikaisha fasta maana mahakamani faili halikuonekana tena.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Uchawi upo anayebisha hajaona ndio maana . Mi kuna ndugu yangu alikuwa na kesi ya mauaji mtaalamu akaletwa home alituma jin likaleta fail kutoka mahakamani tukalichoma moto japo yeye alisema kuna option ya kuchoma moto au kunyofoa nyaraka. Baadae kesi ikaisha fasta maana mahakamani faili halikuonekana tena.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Duh, hii kitu ni noma. Unajua ndio maana hata mafisadi huwa hawafungwi tech wanaitumia sana, wananch watapiga kelel sana, wao wana wanapeta tu……
 
Uchawi upo ingawa tunaambiwa tusiufanye katika mafundisho, na ni kweli dunia nzima wapo wanao practice uchawi hata wazungu pia tena ni balaa kama England aliekuwa malkia zamani Queen Mary au ( bloody Mary) alikuwa anaamini sana pia Elizabeth 1 na waliofuata wote, kafara kila mwaka hao ni hatari
 
Huyo mtaalam yupo wapi tafadhali naomba mawasiliano yake labda na mim anaweza kunisaidia. Tatizo langu kubwa dushelele langu linanywea kimebaki kama cha mtoto mdogo, kisa tu mwanamke alinipenda nikamdengulia! Inaniuma sana.
 
Huyo mtaalam yupo wapi tafadhali naomba mawasiliano yake labda na mim anaweza kunisaidia. Tatizo langu kubwa dushelele langu linanywea kimebaki kama cha mtoto mdogo, kisa tu mwanamke alinipenda nikamdengulia! Inaniuma sana.
Kazi ipo


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hey my friend. Do you believe in witchcraft or do you comprehend the existence of witchcraft? Just asking. Nothing personal.

I personal understand the existence of Witchcraft and I can cast out demons and break witchcraft through the Name of Jesus and His blood.

Science to me is part of Christianity since my God created everything in science, inter-alia, science is limited to verificationism of ex nihilos.


unasoma kiswahili,.unatafakari kwakiswahili,.unaelewa kwa kiswahili,.
Unacomment kwa kiingilish,..jamanii
 
Mkuu ni maeneo ya wapi huko kwa mtalaamu?, ulimkubali sana mkuu mpaka ukamuita Mtaalamu, unaona mambo kwenye tv asilia, Vipi hamkupewa masharti!? maana hao jamaa huwa nawajua kwa masharti halafu huwa ni magumu, lakini pamoja na kusema ulishuhudia kuna jamaa wanaweza wakaja hapa wakakwambia thibitisha kama ulithibitisha...

Hivi tofauti ya Illusion na uchawi ni kitu gani!?

Mkuu,kwanza neno mtaalam lilianzia kwa baba yake na jamaa yangu na sio mimi

Inawezekana alipewa masharti maana kuna wakati alikuwa anapewa maagizo yeye peke yake

Kwani illusion maana yake nini?
 
hakuna uchawi

Kupinga jambo ni rahisi sana maana unaweza hata kupinga jinsia yako mwenyewe,shida inakuja pale ambapo utaambiwa uelezee ni kwa vipi unapinga....

Hebu tueleze ni kwa namna gani hakuna uchawi na una uthibitisho gani hakuna ...!
 
Eiyer

Sayansi inaamini vitu ambavyo vinaweza kuhisiwa na milango 5 ya fahamu.Kuna watu wanaamin kuna milango 8 ya fahamu,
pia uchawi ni tech ya hali ya juu hata inauwezo wa ku fool vipimo vya ki sayansi.

Kama haviwezi kutambuliwa na milango mitano ya fahamu?
 
teh teh teh jaribu kufuatilia ni sayansi gani India inatumika kutibu magonjwa sugu ambayo sehemu nyingine huwezi kuipata.

Kwahiyo wanasayansi wa India na sehemu zingine za dunia ni tofauti?
 
Kama haviwezi kutambuliwa na milango mitano ya fahamu?

Vinawezekan sana, bt uchawi unaweza tumia utaalamu wake kufanya muhsika tu ndo haweze sens kwa kuona, kusikia n etc.

So hii milango ya fahamu inaweza kufungwa isiweze hisi lolote, tech kubwa sana hii.
 
Vinawezekan sana, bt uchawi unaweza tumia utaalamu wake kufanya muhsika tu ndo haweze sens kwa kuona, kusikia n etc.

So hii milango ya fahamu inaweza kufungwa isiweze hisi lolote, tech kubwa sana hii.

Kwa maana hii hili halipo kwa mujibu wa sayansi ....!!
 
Back
Top Bottom