Sayansi na uchawi !

Uchawi umeshindwa kuthibitishwa kwa phsical, chemical and biological laws. Ndio maana sio sayansi na haiwezi ikawa. Uchawi unaexist in a realm of its own, different from the realm of science. Ila, ukiresearch sana utaona kuwa kuna mahali hizi realms zinakutana. Some things are common in both science and magic.
 
mkuu Eiyer, this is interesting.

nina swali moja....hiyo stori ya kichawi iliyo-narate hapo juu, je mhusika ni wewe mwenyewe au ni jamaa yako aliyekusimulia?
 
Uchawi upi na vitabu havijafumbia macho.Uchawi ni una missing ktk uongo ,greed, na envy. Utaona wivu ndio motive..then uongo wa kudanganya wengine na kuwawekea vilivyo vibaya kwa vile mchawi anaona kila kitu kilipaswa kuwa chake.Sayansi za kuhundua natural phenomenon zinatoka ktk roho ambapo Mungu Husanya shetani hu imitate ili ili apate abudiwa.Watu wakubwa ktk dunia ya mashetani ,wapagani na hata ktk Sayansi tuijuayo.Walipata clues au complete msg ktk spirit.Mizimu iliwatokea, Malaika au hata wengine walisoma ktk vitab.Akina Newton wote walisoma Biblia. Km Biblia yupo Nabii alihitaji ufunuo kumuua Dinosour .Alihtaji msaada wa kiroho kuweza pata akili na kuwa alihitaji ujasiri tuu asogee hadi karibu sana na yule kiumbe ili atakapofungua mdogo ndipo ampige mkuki kupitia mdomoni ndipo angepata viungo muhimu na sehemu pekee laini.Kwingine nimagamba magumu.Wapo watu wengine kutuliza akili kulitosha kuachia ubongo kutumia uwezo wake uliojificha na kuja na ugunduzi.
 
mkuu Eiyer, this is interesting.

nina swali moja....hiyo stori ya kichawi iliyo-narate hapo juu, je mhusika ni wewe mwenyewe au ni jamaa yako aliyekusimulia?

Sikusimuliwa haya mambo bali nilishuhudia .......!!
 
Ni km kukataa unapoambiwa mtu kaota kwa vile umeshindwa ithibitisha.Utazidi kupata ugumu zaidi utakapohadithiwa ndoto na mtu halafu baadae yakatokea yote.Niliwahi chughudia watu wanaota ndoto mbaya usiku wanalia sanana asubuhi wanapewa taarifa watu wa karibu yao sana wamekufa ,tena saa ileile walikuwa akilia.Niliwahi ona jamaa kamwona binti mzuri kwa mbali, akasema si aje tuu..si muda bint akasimama na kuja kuulizia njia,ktk eneo lile mbel na pembeni kulikuwa na watu wengine wengi wasio wahuni ila aliwaruka na kuja tulipokuwa.sijui km jamaa alikuwa mchawi ila naamini kulikuwa na mind communication.
 
Sikusimuliwa haya mambo bali nilishuhudia .......!!
Watu hawajui kuwa uchawi unaweza kuwa ni matokeo ya sayansi kutumika vibaya, na mara nyingine ni tricks hutumika kufikia matokeo sawa na ya sayansi.All in all mchawi anataka superiority na hivyo hawezi reveal kila kitu kwa vile anataka kuwa ahead ktk huo uchawi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…