Saying I am Sorry......

Saying I am Sorry......

Wapendwa haya ni baadhi ya maneno/sentences/phrases zitumikazo katika kuomba msamaha kwa mpenzi wako. Kuna ambazo ni more sympathetic kwa kweli kiasi kwamba zinaweza kukufanya ukatabasamu na hacra zako kutoweka kabla hata mwombaji hajamaliza kuomba msamaha na kuna ambazo yaani badala ya kumsamehe kosa alilokosa unajikuta unatamani kumwongezea kosa jingine......................

Kuna hii...................

My darling, If I have ever wronged you, please forgive me
I want to make you smile again, please teach me how to make you smile again
Am dying for you to love me again, am dying to be in your arms again
Please mylove I cant be me if you cant make me feel that

Lakini kuna hii pia ............
...Ah nawe huna dogo? Si yamekwisha??!!

Au............

Bwana eh kama nimekukosea, nisamehe........................!!

Honestly ningependa kujua aina ya misamaa ambayo tulishawahi kuiomba/ombwa kwa/na wenzi wetu.

tatizo ya kauli ya mdomoni ni kuwa si lazima iwakilishe kiukweli hisia zilizopo moyoni........................nionavyo ni kuwa ongea kilichoko moyoni kwa jinsi unavyojisikia lakini utaalamu wa kuchagua maneno waweza kuwa ni mbinu ya kiunafiki ya kuficha ukweli wa kilichoko moyoni.....................just be yourself and do not meditate on what to blurt when the calling is nigh............
 
basi mwenzangu donge ingebidi uliweke hadi wknd! manake sasa baada ya msamaha si inabidi ifuatiwe na tambiko la haja? manake hizi makeup ndo huwa zinasababisha wale watoto ambao kakikasirika hata kalale kanatwetwa,lol!
Hapo hajanywa kachoka kubeba mizigo mizito huko kariakoo shimoni, na unakuwa umemsubiria kwa hamu na huwezi lala lazima ushushe donge lako rohoni, yaani mnaongea vizuri, then anakuppa samahani then unaendelea kuongea mwenzako anaanza kukoroma
<br />
<br />
 
Hah hii thread imenitoa machoz kwa kicheko ah
Lizzy wallah utabebeshwa kosa jingine... Tafadhali nisamehe mpenzi,usiponisamehe sili, siogi wala silali, mpaka unisamehe!
 
Wapendwa haya ni baadhi ya maneno/sentences/phrases zitumikazo katika kuomba msamaha kwa mpenzi wako. Kuna ambazo ni more sympathetic kwa kweli kiasi kwamba zinaweza kukufanya ukatabasamu na hacra zako kutoweka kabla hata mwombaji hajamaliza kuomba msamaha na kuna ambazo yaani badala ya kumsamehe kosa alilokosa unajikuta unatamani kumwongezea kosa jingine......................

Kuna hii...................

My darling, If I have ever wronged you, please forgive me
I want to make you smile again, please teach me how to make you smile again
Am dying for you to love me again, am dying to be in your arms again
Please mylove I cant be me if you cant make me feel that

Lakini kuna hii pia ............
...Ah nawe huna dogo? Si yamekwisha??!!

Au............

Bwana eh kama nimekukosea, nisamehe........................!!

Honestly ningependa kujua aina ya misamaa ambayo tulishawahi kuiomba/ombwa kwa/na wenzi wetu.

my sista,

namshukuru sana Mungu kwa jinsi alivyonitengeneza, kwangu kinyongo hakina nafasi kabisa

msamaha wangu uko automatic, sio kitu cha kuombwa. kama mtu yoyote ameniudhi kwa neno au kwa tendo, inatosha tu akisema "Bwana Yesu asifiwe" nitaitikia "amina" na sekunde hiyohiyo tutakuwa tumerudi kama zamani! na hata asiponiambia hilo, mi nitajisemea kimoyomoyo "asante Yesu" na kuutibu moyo wangu kikamilifu papo hapo na kurudia hali yangu ya kawaida ya furaha na shukrani.

kama mimi ndiye nimemkosea mtu humwambia kuwa "usivunjike moyo mpendwa, Mungu anakupenda, nisamehe" akiniambia kanisamehe nitikia "amina, jina la Bwana libarikiwe" tunarudia furaha zetu kama zamani

tulihimidi jina la Bwana

ubarikiwe sana mpendwa
 
"Honey! hata kama umenuna naomba usininyime ile kitu! nisamehe mwenzio sjakoga wala kupiga mswaki leo ya 3" (halaf kuonesha msisitizo napiga bonge la chafya).
Kama hajanisamehe nareport kwa mods.
 
Basi yaishe bwana.....lakini na we bwana umezidi ! Yaani hapa unaomba msamaha huko unajustify kosa lako lol!
 
&quot;Honey! hata kama umenuna naomba usininyime ile kitu! nisamehe mwenzio sjakoga wala kupiga mswaki leo ya 3&quot; (halaf kuonesha msisitizo napiga bonge la chafya).<br />
Kama hajanisamehe nareport kwa mods.
hahhhh Shemeji hapa anakusamehe na kicheko juu lol ...utasikia afu weewee, mwone vile!! Hahhhh ila wanaume mnajua kutushika
 
my sista,

namshukuru sana Mungu kwa jinsi alivyonitengeneza, kwangu kinyongo hakina nafasi kabisa

msamaha wangu uko automatic, sio kitu cha kuombwa. kama mtu yoyote ameniudhi kwa neno au kwa tendo, inatosha tu akisema "Bwana Yesu asifiwe" nitaitikia "amina" na sekunde hiyohiyo tutakuwa tumerudi kama zamani! na hata asiponiambia hilo, mi nitajisemea kimoyomoyo "asante Yesu" na kuutibu moyo wangu kikamilifu papo hapo na kurudia hali yangu ya kawaida ya furaha na shukrani.

kama mimi ndiye nimemkosea mtu humwambia kuwa "usivunjike moyo mpendwa, Mungu anakupenda, nisamehe" akiniambia kanisamehe nitikia "amina, jina la Bwana libarikiwe" tunarudia furaha zetu kama zamani

tulihimidi jina la Bwana

ubarikiwe sana mpendwa

Hehehe Miss Judith uko serious? yaani unakusudia kusema hata ukimkuta mchumba wako anakucheat na Husninyo wewe akikwambia "Bwana Yesu asifiwe" tu kesi imeisha????, mchumbaako ana bahati sana aisee!

Nilikuwa wapi sku zote sjamchumbia Miss Judith! (source: Aspirin maternity ward)
 
Looks like sorry nyingi za kizungu ndizo watu wanaziona sincere za Kiswahili nmh; labda alizosema AshaD!

Ni swaga za kiinglish au, nawasiokijua je!
 
tatizo ya kauli ya mdomoni ni kuwa si lazima iwakilishe kiukweli hisia zilizopo moyoni........................nionavyo ni kuwa ongea kilichoko moyoni kwa jinsi unavyojisikia lakini utaalamu wa kuchagua maneno waweza kuwa ni mbinu ya kiunafiki ya kuficha ukweli wa kilichoko moyoni.....................just be yourself and do not meditate on what to blurt when the calling is nigh............
Nakubaliana na wewe Ruta msamaha wa kweli ni ule unaoombwa toka moyoni lakini huwasilishwa through maneno ya mdomoni kuna mwingine akisema neno moja tu 'Samahani' anahisi hajasikika na kuna mwingine akiambiwa 'Samahani' anahisi mwenzie hajutii kosa but kumbe anaumia haswa! Mimi ni mmojawapo wa nisiewezaomba sanahani bila kubembeleza!! Yaani niitoe tu kavukavu aisee ..... Ngoja ntajaribu siku moja lol!
 
Hehehe Miss Judith uko serious? yaani unakusudia kusema hata ukimkuta mchumba wako anakucheat na Husninyo wewe akikwambia "Bwana Yesu asifiwe" tu kesi imeisha????, mchumbaako ana bahati sana aisee!

Nilikuwa wapi sku zote sjamchumbia Miss Judith! (source: Aspirin maternity ward)

yap mpendwa,

hilo na mengine kama hayo na hata makubwa zaidi ya hayo ndilo ninalomaanisha haswa, kuna mambo magumu sana kwa mwanadamu lakini kwa hakika hakuna lisilowezekana kwa Mungu!

Glory to God!
 
Nakubaliana na wewe Ruta msamaha wa kweli ni ule unaoombwa toka moyoni lakini huwasilishwa through maneno ya mdomoni kuna mwingine akisema neno moja tu 'Samahani' anahisi hajasikika na kuna mwingine akiambiwa 'Samahani' anahisi mwenzie hajutii kosa but kumbe anaumia haswa! Mimi ni mmojawapo wa nisiewezaomba sanahani bila kubembeleza!! Yaani niitoe tu kavukavu aisee ..... Ngoja ntajaribu siku moja lol!

Sasa dada kwa sisi wengine ambao tunajua kupenda kwa dhati lakini kutamka "I love you" hatuwezi ndio inakuwaje?
Mimi nafikiri actions speaks louder than words, so hata kama sitotamka kuwa I'm sorry lakini utanisoma matendo yangu na utaridhika
 
hahhhh Shemeji hapa anakusamehe na kicheko juu lol ...utasikia afu weewee, mwone vile!! Hahhhhila wanaume mnajua kutushika

hehehe unajua shem! nilichogundua ni kwamba mapenzi ni usanii espesheli haya mapenzi ya fesbuk! unaweza ukaliona lijamaa linakulilia ukazani linalia kweli kumbe hata machozi halina, na linavuta memori za kupigwa kibuti na ex wake ili kulazimisha kupata machozi ya kukulilia wewe kwenye msamaha. Khaaa!
 
yap mpendwa,

hilo na mengine kama hayo na hata makubwa zaidi ya hayo ndilo ninalomaanisha haswa, kuna mambo magumu sana kwa mwanadamu lakini kwa hakika hakuna lisilowezekana kwa Mungu!

Glory to God!


Nimekupenda ghafla Miss Judith! wanawake wote wangekuwa kama wewe divorce zingebaki kwenye katiba tu, wasingempata mtu. enhee na wewe binafsi ungemuombaje msamaha jamaa?
 
hehehe unajua shem! nilichogundua ni kwamba mapenzi ni usanii espesheli haya mapenzi ya fesbuk! unaweza ukaliona lijamaa linakulilia ukazani linalia kweli kumbe hata machozi halina, na linavuta memori za kupigwa kibuti na ex wake ili kulazimisha kupata machozi ya kukulilia wewe kwenye msamaha. Khaaa!
Hapa umesema ukweli kabisa,
Wengi hwa hatumaanishi kabisa.. tunaomba msamaha tu kwasababu hilo neno samahani lipo.
Mtu unakuta anakulilia lakini wala hayupo hapo kabisaaaaa!
 
Back
Top Bottom