Hata wewe ni marehemujust hesabu tu kwamva huyu naye ni marehemu. nipo pale
Wewe ni kafiri sikushangai.Hamas wameleta mauaji hadi sasa zaidi ya watu 10,000. Hizbola wataleta vifo zaidi ya hivyo huko Lebanon. Acha wajidanganye. Niliwaonya hapa lakini ninyi ni vichwa ngumu. Niliwaambia msifananishe Israel na m23.
Pigo moja takatifu la mitumemashariki ya kati yote hakuna anayeweza thubutu kuingilia hii kesi. Kwani atakayejaribu kuingilia atapigwa pigo moja takatifu na hapo hapo atasahaulika
Mtume hewa, tena ni vizuri Hezbollah nao wajumuike kwenye vita ili Israeli asafishe vizuri mipaka yake ikiwa ni pamoja na kukata mikono ya Iran.Pigo moja takatifu la mitume
Ungemjua hizbullah ni nani, Israel wenyewe wamepeleka jeshi lao Bora mpakani na hizbullah, marekani anaposema mtu asiingilie na kupeleka meli za kivita huko,mlengwa ni hizbullahMtume hewa, tena ni vizuri Hezbollah nao wajumuike kwenye vita ili Israeli asafishe vizuri mipaka yake ikiwa ni pamoja na kukata mikono ya Iran.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kumbe na marekani yumo ktk vita?Ungemjua hizbullah ni nani, Israel wenyewe wamepeleka jeshi lao Bora mpakani na hizbullah, marekani anaposema mtu asiingilie na kupeleka meli za kivita huko,mlengwa ni hizbullah