Sayyed Nasrallah kuongea tena kesho

Sayyed Nasrallah kuongea tena kesho

Allah akulaani na Allah akujaalie upate ajali uvunjike miguu. (Aaaamin) .Maana jf mod akishaona mkiristo anatukuna anawaacha bila ya ban. Inawezekana mod wanakaa ktk screen kushehekea.
Sheria itumikie kuwafungia kima hawa wa kikafiri

Ushaanza kulialia kama ndugu zako hamas[emoji2][emoji2]
 
mashariki ya kati yote hakuna anayeweza thubutu kuingilia hii kesi. Kwani atakayejaribu kuingilia atapigwa pigo moja takatifu na hapo hapo atasahaulika
Ni sawa na zanzibar ipigane na Tanganyika wakati huo Zanzibar ikisaidiwa na Usa unadhani Afrika nzima tukiungana tunaweza kuipiga zanzibar?
Kiuhalisia zanzibar haiwezi kupigwa unadhani hapo nani wa kusifiwa
 
Huna unachokijua kuhusu mambo ya mashariki ya kati pia hao Hezbollah sio waarabu hao ni shia na wanapata full sapoti kutoka Irani ambae nae anaogopwa sana hapo mashariki ya kati linapokuja suala la kijeshi.

Wew huna unachokijua, pia MUNGU ni upendo Wala hawezi kuruhusu mauaji ya watu wasio na hatia maana yeye Hana dini yeyote na sio mbaguzi. Na usichokijua nikwamba hawa wayahudi feki wa kizungu sio waisraeli pure, Ila wayahudi pure kwa asilimia kubwa ni wabantu wa Afrika.
dunia ina mambo hii!!. Leo wakurya, wamasai, wakamba nk ndio waisrael pure.
 
dunia ina mambo hii!!. Leo wakurya, wamasai, wakamba nk ndio waisrael pure.
You won't believe me Wala cwez kukulazimisha sababu hata kuhusu pyramid walisema zilijengwa na wamisri mara waisraeli kwajili ya kuwahifadhia mafarao, lakini chakushangaza ni teknolojia iliyotumika hapo ambapo mawe yaliyotumika Yana uzito zaidi ya tani laki 5.

Je binadamu waliweza vipi kujenga pyramid hizo au kubeba mawe hayo maana teknolojia iliyotumika hapa ni very advanced ambapo ni kubwa kuliko teknolojia ya Sasa iliyopo duniani.
 
kumbuka hii litakua ni onyo la 13 la Hisbullah, miarabu ni miropokaji tu hamna kitu hapo. Unaposubiri Tel Aviv ivamiwe endelea kushuhudia migaidi inavyopelekewa moto qmamae natumaini madrara hua mnafundishwa kuinama sawa sawa
mimi naimani ulizaliwa kupitia haja kubwa ndio maana unavimelea vya timba
 
Back
Top Bottom