Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Pigo moja takatifu la mitume
Mwimba taarabu huyo hana jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigo moja takatifu la mitume
Kumbe na marekani yumo ktk vita?
Allah akulaani na Allah akujaalie upate ajali uvunjike miguu. (Aaaamin) .Maana jf mod akishaona mkiristo anatukuna anawaacha bila ya ban. Inawezekana mod wanakaa ktk screen kushehekea.
Sheria itumikie kuwafungia kima hawa wa kikafiri
Hata wew Mkuu unaweza kuwa myahudi, lakini tambua kuwa tafiti nyingi zishafanywa na kuonyesha kwa asilimia kubwa ni wabantu wa Afrika.Wayahudi og wako wapi je na wao mnawapenda na kuwadhamini?
Ni sawa na zanzibar ipigane na Tanganyika wakati huo Zanzibar ikisaidiwa na Usa unadhani Afrika nzima tukiungana tunaweza kuipiga zanzibar?mashariki ya kati yote hakuna anayeweza thubutu kuingilia hii kesi. Kwani atakayejaribu kuingilia atapigwa pigo moja takatifu na hapo hapo atasahaulika
dunia ina mambo hii!!. Leo wakurya, wamasai, wakamba nk ndio waisrael pure.Huna unachokijua kuhusu mambo ya mashariki ya kati pia hao Hezbollah sio waarabu hao ni shia na wanapata full sapoti kutoka Irani ambae nae anaogopwa sana hapo mashariki ya kati linapokuja suala la kijeshi.
Wew huna unachokijua, pia MUNGU ni upendo Wala hawezi kuruhusu mauaji ya watu wasio na hatia maana yeye Hana dini yeyote na sio mbaguzi. Na usichokijua nikwamba hawa wayahudi feki wa kizungu sio waisraeli pure, Ila wayahudi pure kwa asilimia kubwa ni wabantu wa Afrika.
You won't believe me Wala cwez kukulazimisha sababu hata kuhusu pyramid walisema zilijengwa na wamisri mara waisraeli kwajili ya kuwahifadhia mafarao, lakini chakushangaza ni teknolojia iliyotumika hapo ambapo mawe yaliyotumika Yana uzito zaidi ya tani laki 5.dunia ina mambo hii!!. Leo wakurya, wamasai, wakamba nk ndio waisrael pure.
mimi naimani ulizaliwa kupitia haja kubwa ndio maana unavimelea vya timbakumbuka hii litakua ni onyo la 13 la Hisbullah, miarabu ni miropokaji tu hamna kitu hapo. Unaposubiri Tel Aviv ivamiwe endelea kushuhudia migaidi inavyopelekewa moto qmamae natumaini madrara hua mnafundishwa kuinama sawa sawa