Sayyed Nasrallah kuongea tena kesho

Wewe ni kafiri au sio kafiri?
 
Telaviv maisha yanaendelea raha mustarehe kama vile nchi haiko vitani,
 
Hamas wameleta mauaji hadi sasa zaidi ya watu 10,000. Hizbola wataleta vifo zaidi ya hivyo huko Lebanon. Acha wajidanganye. Niliwaonya hapa lakini ninyi ni vichwa ngumu. Niliwaambia msifananishe Israel na m23.
Uliwaonya wew Kama nany, punguza bhangi na mihemko ya kipumbavu hawa Hezbollah sio Hamas maana weenyewe wanakosa air defense system tu, lakin ni jeshi kamili Wala halijawekewa blocked na wayahudi feki wa kizungu Kama walivyofanya kwa hamasi, na pia walishazichapa 2006 na wayahudi feki wa kizungu ambao hawakutegemea Kama vita hiyo ingekua na matokeo mabaya mpaka viongozi baadhi walijiudhuru wadhifa wao serikalini.
 
Mi nilisema hapa,wayahudi hawakutoka kinyonge na si kwa ajili ya Hamas tu,ni pamoja na wafadhili wao vimbelembele watafikiwa.
Leo ijumaa tuulizane j3 kilichojiri.
Huyu ndo kabisa anaweza kupigwa na assasin mmoja tu mtaani.
Hapo kwao walishatandikwa sana tu na wakapewa pole na nyau mwenyewe.
 
Mod huyu angalikuwa muislam kwa matusi haya ashapigwa ban . Lkn kwa sababu ya familia ndio anaachwa

Mod fungia kafiri huyu
Acha kulialia kama Ndugu zako wa Ukanda wa Gaza! Ngoma umeianza mwenyewe cheza sasa.Unalialia Nini sasa wewe mchumba?? Israel mtoa roho mwache awafirigise Hawa Hamas.
Israel peleka moto kwa Malaria tuwili na ndugu zake
 

Attachments

  • images - 2023-11-10T213330.561.jpeg
    6 KB · Views: 1
  • images - 2023-11-10T213229.099.jpeg
    7.5 KB · Views: 3
  • download (74).jpeg
    14.8 KB · Views: 3
Sasa Hezbollah ndio waingie Tel Aviv????? we kweli malaria🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…