Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Naombeni ushauri,magari yaliyo tayari hapa nchini kwa kampuni tajwa hapo juu toka october mwaka jana na november yanaweza kuchajiwa kiasi gani port fee?
Ni na mpango wa kununua gari moja wapo lakini nimepata wasiwasi kuwa huenda "port charges" ikawa juu kutokana na gari kuwepo hapo mda mrefu.
Ni na mpango wa kununua gari moja wapo lakini nimepata wasiwasi kuwa huenda "port charges" ikawa juu kutokana na gari kuwepo hapo mda mrefu.