Hoja.. Seriously? Ajibu kwa Nani? Wewe unaefuatilia maisha yake then inasaidia vipi kukuongezea shilingi benk?Hajajibu hoja amekuwa kama Steve Nyerre asijeishia kulia.
Inasta bongo wemejaa vilaza hapo lazima waangaike kutafuta tafsiriAngeacha majibizano na wajinga.....halafu kawaandikia kwa hiyo lugha, Nina mashaka na waswahili wa Insta kama watamuelewa vizuri...........mswahili anataka mswahili mwenzake.
Akanushe kwa Nani? Zari ni kiongozi wa umma useme labda wananchi wanataka kujua?Afadhali katoa povu kwa aina yake, ila sijaona kanusho lolote, halafu kwenye hili ananipa doubt, sijaona akikanusha zaidi ya kuruka kama sindano imemuingia, kaingia maisha ya ku post hiki asikishangae watu nao wakimpost maisha yake binafsi, tumsubiri na yule mwingine naye wa vyeti alipuke.
Afadhali katoa povu kwa aina yake, ila sijaona kanusho lolote, halafu kwenye hili ananipa doubt, sijaona akikanusha zaidi ya kuruka kama sindano imemuingia, kaingia maisha ya ku post hiki asikishangae watu nao wakimpost maisha yake binafsi, tumsubiri na yule mwingine naye wa vyeti alipuke.