kweli kabisa kule alivamia faniNaaam hivi ndio vitu unavyovimudu vyema kabisa sio ishu za kina Daudi na Gwaji na vyeti vyao vya kichina.
Hoja.. Seriously? Ajibu kwa Nani? Wewe unaefuatilia maisha yake then inasaidia vipi kukuongezea shilingi benk?
hehehehhehe zareeeeeeeeeeeeeeeeeeee amamchota kaka pezn barufu juwa likipita hata huwezi kumbuka kaa walikuwaga wapenz..... known ice love...........Baada ya picha kuzagaa mitandaoni kuhusu shutuma dhidi ya mwanamama kutoka Uganda, zari hassan, ambaye pia ni mpenzi wa mwanamuziki wa msanii diamond platnums, zikimfananisha mtoto huyo wa diamond aitwaye nillan na mume wa zamani wa zari, ambaye wanaonekana kufanana zaidi na mtoto huyo kuliko diamond, mwanamama huyo amewataka maadui zake wafocus zaidi kwenye maisha yao na familia zao kuliko kumjadili yeye na maisha yake kwani haitowasaidia kitu
Hata mi nashanga wanaofatilia maisha ya "wanaofatilia maisha ya watu"Hoja.. Seriously? Ajibu kwa Nani? Wewe unaefuatilia maisha yake then inasaidia vipi kukuongezea shilingi benk?