Sawa hatuna akili.Wadada wengi wa bongo walioko instagram akili hawana ,
Wamefungua vipeg vyako kuzungimzia maisha ya watu na kupata vimatangazo vya dawa za kuongeza nguvu na makalio basis wanaona ndo ajira kabisa
Full kutukana watu
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kumbe mkuu wewe ni mdada aiseee ,Sawa hatuna akili.
Lini mtampelekea Nillan akamuone baba ake?!
Lete ushahidi mkuu ili tuhakikiHii yule jamaa wa Tandale lazima afe kwa mawazo.
Akimuacha tu ile nyumba ya Sauzi anaikosa maana ina jina la yule bibi wa Uganda.
Well said"If you are a man and married DO NOT EVER TRUST your wife except your ONLY BIOLOGICAL MOTHER"
Hahaaa ila yule dogo kafanana na kijana yuleee mwee ngoja tusubiri akuwe labda sura inaweza kuja kwa kijana huyuZari hilo povu sio la nchi hii
Binamu tutafsirie basi, kama wifi ametutukana tuelewe.Zari hilo povu sio la nchi hii
Ahahaaaa uwiiii. Mimi nilijuaga ni mwanamume[emoji3] [emoji3] [emoji3] kumbe mkuu wewe ni mdada aiseee ,