Hawa wahindi/waarabu wanacheza na akili za serikali na wakala wa ujenzi,majanja sana hawa kwenye kila biashara,wanataka kudhulumu wapate faida aharamu...anzia kwa scandinavia kuja green!usanii mtupu!
Wizi mtupu huo ni uhuni wa mchana kweupe, jamaa kaanzisha kampuni kubwa ya green star inatumia vituo vya scandinavia eti ni kampuni ya mdogo wake, hiyo ni njia ya kuizika scandinavia na kuendelea na green star , chai ni ile ile kimebadilika kikombe. karaga bao
Hii biashara ya Usafiri sielewi ina nuksi gani? inaanza kampuni ndogo na vijibasi au mabasi then inakuja kuwa kubwaaa mwishowe inakuja kufa kibudu... inanitia hofu kwani na mimi naifanya.... na wengi hufanya na kuuza mabasi yao na wengine huishia kuyapaki majumbani au kuyaacha yakifia garage mwishowe huuzwa kama chuma chakavu... hii biashara inashahidiana na ile ya madini niiogopayo japo nilishawawi kuyachimba baada ya kumaliza seco
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.