Scania buses na Cummins buses ( Zhoungtong climber, yutong ect)

Scania buses na Cummins buses ( Zhoungtong climber, yutong ect)

Torque ni maximum angular force available
Horse power ni maximum Power ya engine

Katika malori tuna msemo use torque and not power to haul, Maana kuwa ukitaka kubeba mizigo tumia uwezo wa engine na sio mabavu ya engine

Ki uhalisia diesel engine huwa Inatoa maximum torque katika engine revoliutions ndogo Sana up to 1400 rpm Maxx, yaan ikizid 1400 rpm, torque hupungua na power kuongezeka kadiri ya mizunguko, hii ndo sababu katika mchezo ya spinning diesel engine haziwezi sababu huwa torque unapatikana mwanzo tu, unlike petrol cars, ambazo torque hupatikana kadiri unavoitafuta power,
hii pia ndio imepelekea malori kuwa na gear nyingi( 12 Scania, daf iveco up to 16.) lengo ni kuwa dereva aweza ku negotiate speed bila Kutoka kwenye max torque range, malori yangekua na gear tano kwa mfano, yasinge kuwa economical, sababu muda mwingi dereva angekuwa anaendesha kwa kufata power na si torque

Mfano tuchukulie Volvo ya gear 16. Volvo nyingi max torque huwa ni 1300 rpm, Dereva a naweka namba Moja, na kuvuta moto hadi 1300 rpm, kwa muda huo speed inakuwa may be 6km/h, , akiweka namba mbili rpm itashuka had 700rpm, anavuta Tena moto had 1300rpm kwa muda huo speed inakuwa may be 13km/h, sequence ni hiyo mpaka Lori linapata speed ya kutosha bila Kutoka nje ya 1300 rpm.
 
Wewe umewasilisha lakini haujawa kuziendesha ila mimi nimeziendesha sana kwa uzoefu ni kwamba Engine za Cummins zipo aina 3 za china ndio hewa ila ukipata zenyewe za marekani au Austalia ziko bomba sana Ila hizi za China ni hewa kabisa Golden Dear zina 360 Hp lakin bado 310Hp zinamtesa sana sabb kwnye Muinuko zinasinzia kabisa hata kama ununue leo then Kilimanjaro nyingi ni P270 yaan HP 270 lakini bado hizo Cummins zinapata tabu mno
Mkuu ingawa umeendesha ila trust me, mmarekani haja wahikuwa na engine bora kushinda Sweden.

Cummins N14 uliwahi kuwa nominated na kushinda kuwa the world's longest in service diesel engine, but then ikaja kuonekana ilipendelewa kwa sababu haikuwahi kutumika Africa na brazil sehemu ambazo kweli ni ngumu, Scania 14 litres insemekana ndo worlds longest serving diesel engine, na mpaka Leo kuna ushaidi wake maana bado zipo barabarani

Engine za kimarekani, Cummins, Detroit na catapiler Zinatamba tu kwa kuwa zinatoka USA, In reality hazina maajabu
 
Angalia majinja anachofanywa na Golden deer
Hiyo Majinja kwenye speed bump au Hump anapita bila kupunguza mwendo, alarm unaisikia hafu anapita tu, barabara ya Tunduma-Swanga ina matuta hatari lakini jamaa anakimbiza hatari, au kupanda Kitonga utaipenda
Muwekezaji NF tunduma yeye ndo mmbabe kule
Screenshot_20190830-213009.jpeg
 
Hiyo mashine sio nimesimuliwa nimepanda mara nyingi hiyo hasa milimani ndo utaipenda...kwa michina wanaojitahidi Golden Deer DJQ ya Jaja na DMG linyama nikiona hao madereva najua shuguli ipo
Hiyo Majinja kwenye speed bump au Hump anapita bila kupunguza mwendo, alarm unaisikia hafu anapita tu, barabara ya Tunduma-Swanga ina matuta hatari lakini jamaa anakimbiza hatari, au kupanda Kitonga utaipenda
 
Torque ni maximum angular force available
Horse power ni maximum Power ya engine

Katika malori tuna msemo use torque and not power to haul, Maana kuwa ukitaka kubeba mizigo tumia uwezo wa engine na sio mabavu ya engine

Ki uhalisia diesel engine huwa Inatoa maximum torque katika engine revoliutions ndogo Sana up to 1400 rpm Maxx, yaan ikizid 1400 rpm, torque hupungua na power kuongezeka kadiri ya mizunguko, hii ndo sababu katika mchezo ya spinning diesel engine haziwezi sababu huwa torque unapatikana mwanzo tu, unlike petrol cars, ambazo torque hupatikana kadiri unavoitafuta power,
hii pia ndio imepelekea malori kuwa na gear nyingi( 12 Scania, daf iveco up to 16.) lengo ni kuwa dereva aweza ku negotiate speed bila Kutoka kwenye max torque range, malori yangekua na gear tano kwa mfano, yasinge kuwa economical, sababu muda mwingi dereva angekuwa anaendesha kwa kufata power na si torque

Mfano tuchukulie Volvo ya gear 16. Volvo nyingi max torque huwa ni 1300 rpm, Dereva a naweka namba Moja, na kuvuta moto hadi 1300 rpm, kwa muda huo speed inakuwa may be 6km/h, , akiweka namba mbili rpm itashuka had 700rpm, anavuta Tena moto had 1300rpm kwa muda huo speed inakuwa may be 13km/h, sequence ni hiyo mpaka Lori linapata speed ya kutosha bila Kutoka nje ya 1300 rpm.
Duh...salute mkuu.
 
Torque ni maximum angular force available
Horse power ni maximum Power ya engine

Katika malori tuna msemo use torque and not power to haul, Maana kuwa ukitaka kubeba mizigo tumia uwezo wa engine na sio mabavu ya engine

Ki uhalisia diesel engine huwa Inatoa maximum torque katika engine revoliutions ndogo Sana up to 1400 rpm Maxx, yaan ikizid 1400 rpm, torque hupungua na power kuongezeka kadiri ya mizunguko, hii ndo sababu katika mchezo ya spinning diesel engine haziwezi sababu huwa torque unapatikana mwanzo tu, unlike petrol cars, ambazo torque hupatikana kadiri unavoitafuta power,
hii pia ndio imepelekea malori kuwa na gear nyingi( 12 Scania, daf iveco up to 16.) lengo ni kuwa dereva aweza ku negotiate speed bila Kutoka kwenye max torque range, malori yangekua na gear tano kwa mfano, yasinge kuwa economical, sababu muda mwingi dereva angekuwa anaendesha kwa kufata power na si torque

Mfano tuchukulie Volvo ya gear 16. Volvo nyingi max torque huwa ni 1300 rpm, Dereva a naweka namba Moja, na kuvuta moto hadi 1300 rpm, kwa muda huo speed inakuwa may be 6km/h, , akiweka namba mbili rpm itashuka had 700rpm, anavuta Tena moto had 1300rpm kwa muda huo speed inakuwa may be 13km/h, sequence ni hiyo mpaka Lori linapata speed ya kutosha bila Kutoka nje ya 1300 rpm.
Para ya mwisho imefanya mada kuwa interesting.
 
Mkuu ingawa umeendesha ila trust me, mmarekani haja wahikuwa na engine bora kushinda Sweden.

Cummins N14 uliwahi kuwa nominated na kushinda kuwa the world's longest in service diesel engine, but then ikaja kuonekana ilipendelewa kwa sababu haikuwahi kutumika Africa na brazil sehemu ambazo kweli ni ngumu, Scania 14 litres insemekana ndo worlds longest serving diesel engine, na mpaka Leo kuna ushaidi wake maana bado zipo barabarani

Engine za kimarekani, Cummins, Detroit na catapiler Zinatamba tu kwa kuwa zinatoka USA, In reality hazina maajabu
Mkuu kama International ni gari ya kimarekani wao kweli ni bora Zimbabwe yamejaa hayo tuu utadhani wanapewa bure na uliza bei yake na ubora kama unafanana na International...Wasomali tunaonunua nao magari minada ya SA wanawashangaa watanzania kukariri na Scania wakati kuna Actros za kibabe zaidi Scania hapo anasubiri mbali Sana...
 
Mkuu kama International ni gari ya kimarekani wao kweli ni bora Zimbabwe yamejaa hayo tuu utadhani wanapewa bure na uliza bei yake na ubora kama unafanana na International...Wasomali tunaonunua nao magari minada ya SA wanawashangaa watanzania kukariri na Scania wakati kuna Actros za kibabe zaidi Scania hapo anasubiri mbali Sana...
Sidhani kama upo barabarani ambapo real world perfomance zinaoneakana , Actross, axor haz,ina ubavu wa kuiacha scania unless hiyo scania iwe old model hasa. Ni stori tu za mtaani zinaibeba mercedes
Axor ya mwaka 2017, haitiiagi mguu kwa scania r440 ya mwaka 2012, nimeshudia mara kadhaa hilo

Kwa sasa lori poweful duniani inatoka kwa Volvo, 750 hp ikifuatiwa na Scania R730 ,

Kiufundi scania ni gari inayoweza kutumika na maskini sana japo kuinunua mpya ni gari ghali sana , scania wana kitu wanaita modular concept , yaan parts zinaingiliana sana kwa engine zao tofauti tofauti, na ni moja ya gari unayoweza kufanya ovahaul ya puston moja na ukaendelea na maisha
 
Sidhani kama upo barabarani ambapo real world perfomance zinaoneakana , Actross, axor haz,ina ubavu wa kuiacha scania unless hiyo scania iwe old model hasa. Ni stori tu za mtaani zinaibeba mercedes
Axor ya mwaka 2017, haitiiagi mguu kwa scania r440 ya mwaka 2012, nimeshudia mara kadhaa hilo

Kwa sasa lori poweful duniani inatoka kwa Volvo, 750 hp ikifuatiwa na Scania R730 ,

Kiufundi scania ni gari inayoweza kutumika na maskini sana japo kuinunua mpya ni gari ghali sana , scania wana kitu wanaita modular concept , yaan parts zinaingiliana sana kwa engine zao tofauti tofauti, na ni moja ya gari unayoweza kufanya ovahaul ya puston moja na ukaendelea na maisha
Unaleta ubishi tuu Mkuu tulioa na Scania tunatamani tuwe na Actros tunaona zinavyofanya kazi Mimi Nina R 420 inatoka Johannesburg ,Dar na Lubumbashi, bei ya Actros iliyotumika mwaka zikiwa sawa na Scania unatapata Scania used mbili..kuna bwana mdogo yeye kaanza na Actros anafanya vizuri wasafirishaji wengi tunatamani kuwa na Actros yenyewe...hizo iveco zipo nazifahamu nani anayo kwetu huku huko sokoni tunaona ni makampuni machache yanayosafirisha vitu vizito ndio wanayo...
 
Unaleta ubishi tuu Mkuu tulioa na Scania tunatamani tuwe na Actros tunaona zinavyofanya kazi Mimi Nina R 420 inatoka Johannesburg ,Dar na Lubumbashi, bei ya Actros iliyotumika mwaka zikiwa sawa na Scania unatapata Scania used mbili..kuna bwana mdogo yeye kaanza na Actros anafanya vizuri wasafirishaji wengi tunatamani kuwa na Actros yenyewe...hizo iveco zipo nazifahamu nani anayo kwetu huku huko sokoni tunaona ni makampuni machache yanayosafirisha vitu vizito ndio wanayo...
Nipo industry hiyo ila ni ushauri tuu, route uliyozumgumzia halafu ukanunua r420,? Ulikuwa serious kweli kwenye maamuzi? Mnapataga ushauri wapi?

Ni kweli actross ghali kwa sababu nyingi huwa ni below 1000000km mark, Scania unazoziona barabarani na kuzilinganisha na nyingi ni zaid ya million kilometers,

Get yourself R500 any day kwa hiyo route halafu uje unipe mrejesho
 
Mkuu una krem tatizo apa sasa ivi nipo DMG 613 naitafuta swax uyo majinja yupo nyuma sna
Mkuu sio kweli hata kidogo Nilikaa mafinga kama mwezi n daily y kwanza kupita Majinja n mara chache Golden Deer...pia karibu mara 10 tumewahi kukimbizan n Hiyo Deer alisoma upepo
 
Mkuu ingawa umeendesha ila trust me, mmarekani haja wahikuwa na engine bora kushinda Sweden.

Cummins N14 uliwahi kuwa nominated na kushinda kuwa the world's longest in service diesel engine, but then ikaja kuonekana ilipendelewa kwa sababu haikuwahi kutumika Africa na brazil sehemu ambazo kweli ni ngumu, Scania 14 litres insemekana ndo worlds longest serving diesel engine, na mpaka Leo kuna ushaidi wake maana bado zipo barabarani

Engine za kimarekani, Cummins, Detroit na catapiler Zinatamba tu kwa kuwa zinatoka USA, In reality hazina maajabu
Mkuu nakuunga mkono hapo kwenye engine za mmarekani kupewa promo kubwa na zikija kwenye utendaji ni za kawaida.

Natolea mfano kwenye sekta ya majini Catapiler na Cummins ndio zina aminika kufanya vyema kwenye mazingira magumu ya vivuko na meli huku Africa.
Lakini kiuhalisia hizi ndizo zinaongoza kwa kuwa na breakdown nyingi na hata kwenye meli baadhi ya maeneo wamiliki wanalalamika utumiaji wake wa mafuta.

Wakati engine za Scania Marine waliofunga zina zaidi ya miaka 10 na wengine walinunua pamoja na hao wa Cummins&Catapiler. Scania imekuwa na breakdown chache,matumizi ya mafuta yako kawaida na spea zake wamiliki hawaumizi kichwa.

Ndio maana leo hii kwa ziwa Victoria engine za Cummins zinafungwa kwenye vivuko vya serikali, watu binafsi wamehamia Scania, Volvo na Daf.
 
Torgue (mechanics) is force that tends to cause rotation, .ni nguvu inayopelekea kusababisha mzunguko, kwa hiyo kwa scania ina nguvu kubwa mlimani, inaweza kukupita kama umesimama, that means inapokuwa kwenye low gear torgue yake ina nguvu kubwa kuliko zingine.
Hili lina ukweli asilimia zote.. Nimeendesha Bus flani ni scania 114, hp380 nilikuwa nainuka kitonga na 70kph kama hakuna vicheche mbele! Na mtoa mada kadanganya kuwa kisa speed ya zhongtong ni 140 basi mwendo ni mkubwa kuliko scania yenye 120kph. Aangalie ukiwa na gari ndogo unatembea 160kph lakini itakuja bus scania yenye 120kph inakukata kama umesimama... Nadhani ameangalia tu maandishi kwenye darshbod ila hajawahi kuzijaribu apate uhakika wa anachoandika.. Kingine kasema golden deer zinasumbua sana scania, amesahau kwasasa gari zote zinatembea mwendo sawa ila ushapu wako kwenye vituo au kuweza kulipia tochi za kwenye 50kph zitakufanya njia nzima utembee 84kph wakati mwenzio akifika kwenye 50kph anapunguza, unategemea watafika sambamba?? Saizi kuwahi zaidi ya mwenzio ni ujanja wako tu njiani sio uwezo wa gari. Labda kupanda milima tu ndo scania itawahi zaidi kumaliza
 
Back
Top Bottom