Scania/Volvo Marcopolo Paradiso 1800DD G7

Inaonekana upo kwenye hii field, maana upo deep
 
Kiufupi mabasi ya aina hii huku ulaya yanatumika kwa safari fupi public transport, na kama itaingia safari ndefu zina speed limit kwa u safiri kama huo.
 
Lingefaaa likawa linaenda Dar Dodoma/Dar Tanga/dar Moshi
 
asee wewe hiyo pesa fanyia kaz ingine tu hapa kwa sasa kidogo hapaeleweki kuna sinto faham na fujo za hapa na pale
 

Bujibuji Wazambia wanatumia hizo bus kwa safari za SA na Zambia hata ndani ya Nchi kwa safari za ndani wanatumia hizi hata kwenda vijijini kwao hilo bus linavuta tela linabeba mzigo tani 12 kuendelea kutoka Zambia na kurudi karibu 1500 Km..
 
Tanroads wanakatisha tamaa sana..masharti kibao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…