Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,380
Heshima zenu wana JF!
Kuanzia kesho tunatarajia kuwa na marekebisho "Makubwa" ya JF ikiwa ni pamoja na mabadiliko kadhaa kwa ufanisi zaidi wa majukwaa yetu.
Tunaweza kwenda "offline" kwa muda wa masaa 6 hadi 12 kwa siku ya Jumamosi ama Jumapili ili kuweza kupitia posts zote na topic zote na kuweza kuzipangilia katika mpangilio sawa.
Tunatambua ugumu wa kazi hii na tunaomba uvumilivu wakati wa week end hii ili kuweza kuweka majukwaa yetu katika hali nzuri.
Juma lijalo tutakuwa na matengenezo mengine ambapo tutakuwa tunahamisha baadhi ya data za JF kuelekea kwenye servers zetu nyingine tatu ili kuweza kuongeza loading speed ya JF ikiwa ni pamoja na mirroring ya JF kwa servers zetu za Tanzania ili kuwasaidia wanachama wetu walio Tanzania kuipata JF kwa speed nzuri zaidi.
Once again, kazi hii itakuwa ngumu na itahitaji umakini mkubwa katika kuitekeleza, tunaweza kufanya kila kitu JF ikiwa inaendelea na mijadala lakini haipendezi wakati wa maintenances kadhaa kuiacha on kwani baadhi ya watu watakereka.
Tunawashukuru kwa ushirikiano na tunaomba uvumilivu wakati wa kazi hii ngumu tunayotarajia kukumbana nayo.
Sikitiko langu: Kuna baadhi ya posts zitaondoshwa wakti wa mapitio ya majukwaa yote na hasa zile ambazo zitaonekana hazina manufaa kwa jamii yetu.
Ahsanteni
Kuanzia kesho tunatarajia kuwa na marekebisho "Makubwa" ya JF ikiwa ni pamoja na mabadiliko kadhaa kwa ufanisi zaidi wa majukwaa yetu.
Tunaweza kwenda "offline" kwa muda wa masaa 6 hadi 12 kwa siku ya Jumamosi ama Jumapili ili kuweza kupitia posts zote na topic zote na kuweza kuzipangilia katika mpangilio sawa.
Tunatambua ugumu wa kazi hii na tunaomba uvumilivu wakati wa week end hii ili kuweza kuweka majukwaa yetu katika hali nzuri.
Juma lijalo tutakuwa na matengenezo mengine ambapo tutakuwa tunahamisha baadhi ya data za JF kuelekea kwenye servers zetu nyingine tatu ili kuweza kuongeza loading speed ya JF ikiwa ni pamoja na mirroring ya JF kwa servers zetu za Tanzania ili kuwasaidia wanachama wetu walio Tanzania kuipata JF kwa speed nzuri zaidi.
Once again, kazi hii itakuwa ngumu na itahitaji umakini mkubwa katika kuitekeleza, tunaweza kufanya kila kitu JF ikiwa inaendelea na mijadala lakini haipendezi wakati wa maintenances kadhaa kuiacha on kwani baadhi ya watu watakereka.
Tunawashukuru kwa ushirikiano na tunaomba uvumilivu wakati wa kazi hii ngumu tunayotarajia kukumbana nayo.
Sikitiko langu: Kuna baadhi ya posts zitaondoshwa wakti wa mapitio ya majukwaa yote na hasa zile ambazo zitaonekana hazina manufaa kwa jamii yetu.
Ahsanteni