nimefuatilia based on the way u write kwanza inabidi ufix some things... Afu umeshindwa hata kujua tofauti ya scholarship na sponsorship from ur reply kua umepata scholarship china lakini uko vibaya financially unauliza kama utapata sponsor!! scholarship means unalipiwa kitu flani, kama ni application tu ya chuo na kukubaliwa hiyo si kupata scholarship... Afu kama u r expecting kua ukiomba ukapata chuo then atatokea mtu nchi za watu mwenye hela akulipie forget about it.. hizo hua ziko kwenye movie mtu kupata zali la mentali...
Sasa here is what u need, Kwanza kama ni undergraduate unahitaji tokeo safi sana necta, na matokeo yako ya shule kwa ujumla na hapa naongelea straight As au uwe na B moja, kama ni postgraduate basi GPA kuanzia angalau 4 katika scale ya 5, ambao wana exception ya hii labda government workers wa muda mrefu hawa mara nyingi hupata government scholarships kama urafiki baina ya two countries.... naongea kama mtu ambaye nilipata full scholarship na nikalipiwa kila kitu kuanzia tiketi ya ndege hadi nguo nlizovaa... Another thing unachoenda kusomea, umejipanga vipi? Mfano kama ni mtu anaenda kusomea electronics engineering for example, umefanya chochote kama kuongoza club shuleni, kufungua ka workshop kanakohusiana na hiyo major, au kazi part time kampuni inayohusiana na the same thing?? Wana-condider sana things like that.. Inabidi uwe na profile ya kueleweka..
Asikudanganye mtu kua zinazopita wizarani wanapeana ndugu au hadi hela, ina maana hao wizarani ndo wana ndugu kila mwaka wenye matokeo mazuri.. nonsense, sikua na ndugu yoyote anayesimamia wakati nafanya application. The guys are fair, ka umejipnga vzr u cnt miss... ila usidhani kupata CCC ni kujipanga vzr.... C inaheshima bongo tu, nchi za watu hata B inaonekana ovyo