msamwelmollel
Member
- May 20, 2012
- 16
- 1
Juma kama moja limepita tangu Mh Rais kupewa schoralship kwa wanafunzi wa Tanzania kwenda kusoma fani zinazohusu mafuta katika chuo cha Aberdeen Scotland .swali langu je ni nani mwenye tetesi ya wapi naweza pata izo scholarship au maelezo zaidi.