scholarship

scholarship

MUME WANGU

Member
Joined
Mar 25, 2009
Posts
24
Reaction score
0
Habari wana jamii,.

Niko hapa university of dar namalizia kozi yangu ya school of law, baada ya hapo ningependa kwenda kusoma masters nje ya nchi ili niweze kujifunza maisha,utamaduni na mazingira totauti na Tz, kama kuna mtu anayefahamu ni wapi ninaweza kupata scholarship ya masters tafadhari anifahamishe.

Asanteni
 
Habari wana jamii,.

Niko hapa university of dar namalizia kozi yangu ya school of law, baada ya hapo ningependa kwenda kusoma masters nje ya nchi ili niweze kujifunza maisha,utamaduni na mazingira totauti na Tz, kama kuna mtu anayefahamu ni wapi ninaweza kupata scholarship ya masters tafadhari anifahamishe.

Asanteni

Kabla sijachangia chochote umeolewa?
 
Mods mbona mnaruhusu offensive nicks?
alazimishwe kubadili huyu.
 
kabla ya kukupa link ungesema ni mwaka gani ambao ume-plan kwenda kusoma nje ya nchi??
 
Hiyo inakuhusu nini sasa.

Inamhusu kwa sababu anataka kukupatia msaada utakao kufaa, sasa kama wewe umeolewa na unaonekana unampenda mume wako hata kumtumia kama ID yako hapa akikupa mchongo wa scholarship ambazo hazitolewi kwa watu waliolewa si atakuwa amepoteza muda wake? Vipi umegombana na Mr nini mbona unakuwa mkali?
 
Hiyo inakuhusu nini sasa.

Inamhusu kwa sababu anataka kukupatia msaada utakao kufaa, sasa kama wewe umeolewa na unaonekana unampenda mume wako hata kumtumia kama ID yako hapa akikupa mchongo wa scholarship ambazo hazitolewi kwa watu waliolewa si atakuwa amepoteza muda wake? Vipi umegombana na Mr nini mbona unakuwa mkali?
 
Inamhusu kwa sababu anataka kukupatia msaada utakao kufaa, sasa kama wewe umeolewa na unaonekana unampenda mume wako hata kumtumia kama ID yako hapa akikupa mchongo wa scholarship ambazo hazitolewi kwa watu waliolewa si atakuwa amepoteza muda wake? Vipi umegombana na Mr nini mbona unakuwa mkali?


Sasa wewe na yeye mnauhusiano gani?..

Jadili mada
 
Habari wana jamii,.

Niko hapa university of dar namalizia kozi yangu ya school of law, baada ya hapo ningependa kwenda kusoma masters nje ya nchi ili niweze kujifunza maisha,utamaduni na mazingira totauti na Tz, kama kuna mtu anayefahamu ni wapi ninaweza kupata scholarship ya masters tafadhari anifahamishe.

Asanteni

hii hapa ambayo mie pia nimeapply kwa US$45 lakin napata shaka sijui ni SCAM!..Tushirikiane kutafuta uhakika,otherwise iko bomba.....Http://www.aeedot.com
 
Back
Top Bottom