MUME WANGU
Member
- Mar 25, 2009
- 24
- 0
Habari wana jamii,.
Niko hapa university of dar namalizia kozi yangu ya school of law, baada ya hapo ningependa kwenda kusoma masters nje ya nchi ili niweze kujifunza maisha,utamaduni na mazingira totauti na Tz, kama kuna mtu anayefahamu ni wapi ninaweza kupata scholarship ya masters tafadhari anifahamishe.
Asanteni
Niko hapa university of dar namalizia kozi yangu ya school of law, baada ya hapo ningependa kwenda kusoma masters nje ya nchi ili niweze kujifunza maisha,utamaduni na mazingira totauti na Tz, kama kuna mtu anayefahamu ni wapi ninaweza kupata scholarship ya masters tafadhari anifahamishe.
Asanteni