Scholarships within Tanzania

Scholarships within Tanzania

Kaka Sam

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
540
Reaction score
78
Wana MMU habari za wakati huu..

Wakuu nina rafiki yangu ambaye amepata anatarajia kusoma Masters ya Socio science kwenye chuo kimoja hapa Tanzania kuanzia mwezi wa 9/10 mwaka huu, sasa anatafuta scholarship na anaomba kama kuna ambaye anajua/anafahamu scholarship yoyote ambayo inafund Ms within Tanzania atusaidie kutuwekea hapa au ushauri afanyeje ni muhimu pia.

Natanguliza shukrani.:hug:
 
Hiyo ataipata akishakua chuon huwa zinatoka,wanaopewa ni wale wanaojisomesha wenyewe,ila strong g.p.a inamata,isiwe kama ya jk
 
Hiyo ataipata akishakua chuon huwa zinatoka,wanaopewa ni wale wanaojisomesha wenyewe,ila strong g.p.a inamata,isiwe kama ya jk

Hahah haaa kwani JK anayangapi..? nyway back to topic, nashukuru ntamtia moyo.. kama kuna mtu alishapata huko chuo huwa zinatoka wap? kwenye chuo chenyewe au wakina nani hasa???
 
Wana MMU habari za wakati huu..

Wakuu nina rafiki yangu ambaye amepata anatarajia kusoma Masters ya Socio science kwenye chuo kimoja hapa Tanzania kuanzia mwezi wa 9/10 mwaka huu, sasa anatafuta scholarship na anaomba kama kuna ambaye anajua/anafahamu scholarship yoyote ambayo inafund Ms within Tanzania atusaidie kutuwekea hapa au ushauri afanyeje ni muhimu pia.

Natanguliza shukrani.:hug:

Ndugu D5,
Umesemaa amepata admission social sciences halafu baadae ukasema Msc. Naona kama kunaweza kuwa kuna confusion hapo. Social sciences hupelekea kupata MA (unless kuna kitu sijui ktk hili). Anyway, sio ishu sana.
Wapo wafadhili wengi sana anaoweza kuwapata hasa kama ameshapata admission tayari. Tatizo ni kuwa hujasema amepata admission ya kusoma nini. Social sciences bado ni too general. Ninachojua mimi wanaotoa scholarship wengi wanapenda usome ktk local universities-inakuwa rahisi sana (zaidi) kupata kuliko ya kwenda nje. Sasa basi balozi hizi hutoa scholarship sana kwa watu wanaojua kuzifuatilia.
(1) Ujerumani (Chini ya mwavuli wa wizara yao ya mambo ya nje kwa kupitia Deutsher Akademischer Austausch Dienst, DAAD)
(2) Ubalozi wa Ireland
(3) Ubalozi wa China
(4) Balozi za nchi za Scandinavia-Norway, Sweden, Denmark na Finland
(n.k)
NB. Mara nyingi scholarship zao zinalenga maeneo ambayo yatakuwa na manufaa directly kwa jamii. Mostly mazingira, education, sciences kwa ujumla. Sheria NO etc.
Ajaribu kucheki hizo. Afuatilie asisubiri kuunganishiwa. Anaweza kugoogle akaona kama balozi zao wana scholarsship kwa Tz this yr.

Asante. namtakia kila la kheri.
 
Hahah haaa kwani JK anayangapi..? nyway back to topic, nashukuru ntamtia moyo.. kama kuna mtu alishapata huko chuo huwa zinatoka wap? kwenye chuo chenyewe au wakina nani hasa???

Tz hakuna chuo kinachotoa au kuungannishia watu scholarships. Unless wamepewa tangazo wabandike ili watu walio na interest waaplyy huko kwa hao wanaotoa. Scholarship zinazotolewa na vyuo mara nyingi huhusisha mipango maalumu ya hao wafadhili kusomeesha wafanyakazi wa chuo husika. So, hizo hutolewa kwa academic staff wa chuo husika tu. Bahati mbaya hapa Tz hatuna mashirika/makampuni ya ndani yanayosponsor watu. Barick wanafanya hivyo kwa watu wachache wa geology lkn ni undergrads.
So asitarajie kupata chuoni-tena social sciences!!!
 
Ndugu D5,
Umesemaa amepata admission social sciences halafu baadae ukasema Msc. Naona kama kunaweza kuwa kuna confusion hapo. Social sciences hupelekea kupata MA (unless kuna kitu sijui ktk hili). Anyway, sio ishu sana.
Wapo wafadhili wengi sana anaoweza kuwapata hasa kama ameshapata admission tayari. Tatizo ni kuwa hujasema amepata admission ya kusoma nini. Social sciences bado ni too general. Ninachojua mimi wanaotoa scholarship wengi wanapenda usome ktk local universities-inakuwa rahisi sana (zaidi) kupata kuliko ya kwenda nje. Sasa basi balozi hizi hutoa scholarship sana kwa watu wanaojua kuzifuatilia.
(1) Ujerumani (Chini ya mwavuli wa wizara yao ya mambo ya nje kwa kupitia Deutsher Akademischer Austausch Dienst, DAAD)
(2) Ubalozi wa Ireland
(3) Ubalozi wa China
(4) Balozi za nchi za Scandinavia-Norway, Sweden, Denmark na Finland
(n.k)
NB. Mara nyingi scholarship zao zinalenga maeneo ambayo yatakuwa na manufaa directly kwa jamii. Mostly mazingira, education, sciences kwa ujumla. Sheria NO etc.
Ajaribu kucheki hizo. Afuatilie asisubiri kuunganishiwa. Anaweza kugoogle akaona kama balozi zao wana scholarsship kwa Tz this yr.

Asante. namtakia kila la kheri.

Mkuu asante sana for this useful post,
nilikosea kuandika kwa kifupi alipata mwaka jana aka postpond so anatarajia mwaka huu aanze soma Masters ya development studies. Ngoja nijaribu kuchek na web za baloz nchini..

B r
D5
 
Kaka Sam, tujulishe kama ulipata hiyo scholarship ya hapa nchini!

Mods naomba huu uzi upelekwe jukwaa la elimu kwa ulipostiwa huku siku nyingi nafikiri kipindi JF haijaboreshwa kama ilivyo sasa
 
Back
Top Bottom