Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siko upande wowote, matokeo bora ndo mpango mzima.Haha wewe wako yuko boarding kabisa š
NdioSolution n kumuandaa mtoto vyema na kumjengea kujiamini
NIuze nyumba nikapange karibu na shule siyo?.Hama ukaishi karibu na shule.
Ushindwe hapo ulipo, walokole hawapigi makelele. Mapepo Yana kufanya uone maombi ni kelele.Umeangalia hasi chache bila kutazama chanya nyingi...... Mbona walokole wanakesha na makelele tukiamka wankuja kusinzia kazini lakini hujasema......??? WIVU NA UMASIKINI.
E-schoolsSuluhisho?
Pangisha nyumba nenda kapange karibu na shuleNIuze nyumba nikapange karibu na shule siyo?.
hahaha umetisha kondakta wenye ujuzi na nidhamu kaliKama mzazi au mlezi, mara nyingi unakutana na changamoto za kuamka mapema asubuhi ili kuwahi kuleta watoto shuleni kwa kutumia magari ya shule. Lakini, je, umewahi kujiuliza jinsi hali hii inavyowaathiri watoto wako kwa muda mrefu?
Kwa wengi wetu, usafiri wa magari ya shule ni suluhisho la haraka na la kisasa kwa watoto wanaohitaji kuwahi shule kwa wakati. Lakini, je, watoto wanapata nini kutoka kwa safari hii? Je, wanapata usingizi wa kutosha kabla ya kuanza siku zao?
Binafsi naona tunaandaa makondakta wa baadae kwa ujuzi na na nidhamu kali