kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
Daaaah si ungeenda shule nyingine mkuuMe kilichofanya niache shule au nisifanye vzuri ni pale nilipohisiwa kuwa ni usalama wa Taifa na kupelekea hata mkondo niliokuwa walimu kuususia na mimi wakawa wananichukia,
Kiukweli nikawa naona kabisa wananitengenezea viji7bu vya kunifukuza nikaona isiwe tabu bakini na shule yenu kama sikupangiwa kusoma basi yote maisha tuu.
SCHOOL = Seven Cruel Hours Of Our Lifeacha tuuu..
school wasnt mean for me!
alisema tupac shakur
Kosa kuhoji kwanini walimu hamfundishi ipasavyo na kwanini kuna uhaba wa walimu wa masomo ya art kama hist, geo na kisw basi ikawa chukiDaaaah si ungeenda shule nyingine mkuu
😂😂😂Hakika ulikuwa kiherehere.Kosa kuhoji kwanini walimu hamfundishi ipasavyo na kwanini kuna uhaba wa walimu wa masomo ya art kama hist, geo na kisw basi ikawa chuki