Schule in during Germany East Africa

Schule in during Germany East Africa

Sentensi yako ya kwanza nakubali kabisa.
Sasa nakupa darsa bure (sitaki pesa). Silabi "-le" kwenye mwisho wa neno ni kile wanachoita "unbetonte Endsilbe". Unakubali,je? Isipikuwa lahaja chache za kusini ni kamwe "la". Kwa "Schule" kamwe, ninavojua.
Ukipenda kusikiliza matamshi, usiende google (kwao hujui kama ni sauti ya mtu au ya kompyuta),
jaribu hii:https://forvo.com/word/schule/
(Wajerumani wanne wanatamka neno "Schule")

Kuhusu "r" kuna tofauti sana kieneo. Watu wa kusini kama Bavaria na hao wa kaskazini sana wana "r ya ulimi mbele", kama Wahispania, au pia kama Wakenya wengi. Matamshi sanifu ni "r ya shingoni" inayofana na "gh" yetu katika "magharibi", "ghorub" (kama herufi a Kiarabu غ). Sehemu za magharibi kuna pia "r" kama Waeire au Marekani.
Alles gut.
 
Back
Top Bottom