Swali hili, umeuliza kwa maarifa ya nani?Unatumia maarifa ya nani kuthibitisha hilo?
Upeo wangu .Swali hili, umeuliza kwa maarifa ya nani?
Kila kitu ni all things."Kila kitu" ni nini na unajuaje unajua "kila kitu"?
Hivyo unamaanisha pia kuwa mungu anamakosa kwa sababu waandishi walitumia roho mtakatifu sio akili zaoMakosa yaliyopo ktk maandiko yanatokana na waandishi na si Mungu.
Sasa ukisema "kila kitu ni all things" si umerudia tu kusema kila kitu ni kila kitu?Kila kitu ni all things.
Hakuna pahala, nimesema najua kila kitu.
Ndio, mkuu. kwani we huoni?🤒😂😂😂😂🚮Kwamba hayo maelezo yako yameshathibitisha uwepo wa Mungu?
Nikikwambia mimi infropreneur ndio Mungu utakubali?Mungu ni mmoja, japo huitwa ktk majina tofauti.
😂😂😂Ndio, mkuu. kwani we huoni?🤒😂😂😂😂🚮
Kiranga ni master wa kudebate.Anachokifanya kiranga ni kwamba. Unauliza swali nayeye anakuuliza swali kupitia swali lako
Haha it’s funny
Mungu hana makosa.Hivyo unamaanisha pia kuwa mungu anamakosa kwa sababu waandishi walitumia roho mtakatifu sio akili zao
Maana ya kila kitu(everything) ni vitu vyote(all things), kama unayo maana nyingine ilete turahisishe mambo.Sasa ukisema "kila kitu ni all things" si umerudia tu kusema kila kitu ni kila kitu?
Kama hujui kila kitu, unajuaje kila kitu kinatokana na maada?
Hujaeleza kila kitu ni nini, unarudia tu tautology.Maana ya kila kitu(everything) ni vitu vyote(all things), kama unayo maana nyingine ilete turahisishe mambo.
Visivyo maada vyote, haviexist bila maada.
Ukinambia wewe mungu nitapinga coz wewe si chanzo cha kila kitu.Nikikwambia mimi infropreneur ndio Mungu utakubali?
Utathibitisha vipi mimi ni Mungu, Au mimi sio Mungu ?
Tutahakikisha vipi na unathibitishaje hicho unacho kiita Mungu ni Mungu kweli na si kitu kingine chochote kile?
Mungu sio chanzo cha kila kitu sababu nayeye ana Chanzo, Logically ...Ukinambia wewe mungu nitapinga coz wewe si chanzo cha kila kitu.
Ufanano wa muundo na maelezo ya chanzo cha kila kitu(Mungu) ktk maandiko na science ni uthibitisho tosha.
Mungu FundiSalaam wakuu,
Science inasema, kila kitu kimeundwa na atom, bt maandiko yanasema, kila kitu kimeundwa Mungu.
Science inasema atom imeundwa na sehem 3(proton, neuron & electron bt maandiko yanasema Mungu anaundwa na sehem 3(Mungu baba, mwana & roho mtakatifu).
Kwa mtiririko huo, nahitimisha kwa kusema, science inasupport uwepo wa Mungu kwa 100%.
Kwanza nani alileta ukiwa na utupu????Mungu sio chanzo cha kila kitu sababu nayeye ana Chanzo, Logically ...
Mungu kabla hajaanza kazi, Palishakuwepo Giza na vilindi vya maji, Nani aliviumba?
Sio huyohuyo ndiye alimuumba Mungu wa kwenye biblia kisha akamuweka juu ya Maji?
View attachment 3155789
Sidhani kama ni master kihivyoKiranga ni master wa kudebate.