Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hakuna mwenye nia ya dhati ya kuikomboa Congo. Watu wanazidiana kupata maslahi siyo kuleta amani ya kweli Congo.
M23 ni jeshi ambalo wakiamua kulifuta linafutika hata kama linasaidiwa na Kagame. Kagame ana jeshi kubwa kiasi gani?
Watu wanaangalia maslahi yao tu hamna jipya. Nitawaletea yaliyojiri chini ya carpet.
M23 ni jeshi ambalo wakiamua kulifuta linafutika hata kama linasaidiwa na Kagame. Kagame ana jeshi kubwa kiasi gani?
Watu wanaangalia maslahi yao tu hamna jipya. Nitawaletea yaliyojiri chini ya carpet.