M23 siyo ya kufuta kiurahisi.Kuifuta kiurahisi ni kutimiza madai ya wazalendo M23 ambayo Moja wapo ni kuwatambua kuwa watusi wa Kongo(banyamulenge)ni raia wa congo na kuacha kuwabagua.Tofauti na hapo vita itakuwa endelevu
Paul, ana bifu na wanyarwanda waliopo DRC ambao ni part ya M23, ni threat sana kwake, ndyo waliokimbia Rwanda baada ya RPF kuchukua nchi, issue ni compex sana, ref hotuba ya Hayati Mwl Nyerere, amesimulia vizuri hiyo complexity
Malecela akiwa waziri mkuu aliamiru wakamatwe.... Nyerere alilalia kwa wajori zake, Museven na Kagame, waliokuwa wanampetipeti kwa RUSHWA ya maziwa na vizawadi vya ng'ombe wenye pembe ndefundefu huku wakimsifia sana (tunajua walikuwa wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa!)
USHAHIDI WA NYERERE HAPA NI BATILI!
NB: Habyarimana alipotunguliwa Watutsi wa Bongo walianza kufanya sherehe na Waziri wa mambo ya ndani akaamuru washughulikiwe! unajui nini kilifuata? Nyerere, akiwa mstaafu, alimpiga marufuku Waziri asitimize amri aliyotoa (kama sisahau alikuwa Mrema)!
Kagame bado anapambana na Hutu militia waliohusika kwa genocide dhidi ya Tutsi waliokimbilia DRC, M23 ni mshirika wake katika hilo lengo, na anawasaidia kupindua serikali ya DRC, kama alivyo mpa support Kabila Snr, hiyo ndyo ANATOMY ya Paul kujihusisha na vita mashariki mwa DRC..m23 inaweza kufutika ikiwa ufadhili toka Rwanda na Uganda utakoma.
..hakuna aliyeamini Renamo ya Msumbiji inaweza kuacha ugaidi na kuwa chama cha siasa mpaka pale wafadhili wake wa kijeshi walipokoma.
... asante kwa 'correction', siku zimekuwa nyingi kidogo!Malecela akiwa waziri mkuu aliamiru wakamatwe.
Ni justified kwa usalama wa Rwanda, kwa sababu eastern Congo ni kama hakuna serikali ya DRC kwa muda mrefu, na ni threat kwa Rwanda, kwa sababu wa Hutu (the genociders) wana regroup freely na kutishia usalama wa RwandaJe ni sahihi kwa yeye kupenyeza vikosi vyake ndani ya nchi ingine
Namuona hapo mzee wetu wasira kachapa usingizi
Hajalala, hiyo ni pozi ya critical thinking ya agenda za kikaoNamuona hapo mzee wetu wasira kachapa usingizi
Mzee wetu huyu walitakiwa wampumzishe tu huku ni kumchosha kafanya kazi muda mrefu sanaHajalala, hiyo ni pozi ya critical thinking ya agenda za kikao