Scramble and partition of Congo: Kati ya hawa nioneshe asiye na maslahi huko Congo nikuoneshe malaika akiwa bila nguo

M23 siyo ya kufuta kiurahisi.Kuifuta kiurahisi ni kutimiza madai ya wazalendo M23 ambayo Moja wapo ni kuwatambua kuwa watusi wa Kongo(banyamulenge)ni raia wa congo na kuacha kuwabagua.Tofauti na hapo vita itakuwa endelevu

..m23 inaweza kufutika ikiwa ufadhili toka Rwanda na Uganda utakoma.

..hakuna aliyeamini Renamo ya Msumbiji inaweza kuacha ugaidi na kuwa chama cha siasa mpaka pale wafadhili wake wa kijeshi walipokoma.
 
Nitakuja kucomment baadaye ngoja nikachekee nje kwanza wasije wakanishtukia

🤣😆
 
Hapo kwa M23 huna unachoelewa! Tangu lini Kagame akawa na bifu na M23?
Paul, ana bifu na wanyarwanda waliopo DRC ambao ni part ya M23, ni threat sana kwake, ndyo waliokimbia Rwanda baada ya RPF kuchukua nchi, issue ni compex sana, ref hotuba ya Hayati Mwl Nyerere, amesimulia vizuri hiyo complexity
 
Malecela akiwa waziri mkuu aliamiru wakamatwe.
 
..m23 inaweza kufutika ikiwa ufadhili toka Rwanda na Uganda utakoma.

..hakuna aliyeamini Renamo ya Msumbiji inaweza kuacha ugaidi na kuwa chama cha siasa mpaka pale wafadhili wake wa kijeshi walipokoma.
Kagame bado anapambana na Hutu militia waliohusika kwa genocide dhidi ya Tutsi waliokimbilia DRC, M23 ni mshirika wake katika hilo lengo, na anawasaidia kupindua serikali ya DRC, kama alivyo mpa support Kabila Snr, hiyo ndyo ANATOMY ya Paul kujihusisha na vita mashariki mwa DRC
 
Je ni sahihi kwa yeye kupenyeza vikosi vyake ndani ya nchi ingine
Ni justified kwa usalama wa Rwanda, kwa sababu eastern Congo ni kama hakuna serikali ya DRC kwa muda mrefu, na ni threat kwa Rwanda, kwa sababu wa Hutu (the genociders) wana regroup freely na kutishia usalama wa Rwanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…