Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
loyalty
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SweetyCandy twenzetu,mimi bado damu inachemka, hawa akina Tate Mkuu watakuwa wanakuamshia tu miwasho. au wewe @ephen- unasemaje.Hapa sasa utasababisha yule kijana holoholo achukue pointi 3 na magoli 3 kiulaini kabisa. Maana ni muda sasa anamvizia.
Kumbe hunipendii utalijua jiji bibiee wala sina shida hamnilishi ,wala kunipa pumziii. So jipe shughuli mkibaki bakini watu wachungu hata kumuwish mtu happy women 's day hamuwezi hadi makonda anatoa nyama za bureee . WoiMbona humu warembo ni wengi?
Nitafutie bibi mwingine.
ephen_ hui ndio nani hakunaga hiyo kitu Mungu nakupambana kwanguSweetyCandy twenzetu,mimi bado damu inachemka, hawa akina Tate Mkuu watakuwa wanakuamshia tu miwasho. au wewe @ephen- unasemaje.
Humpendi babu yangu! Unataka tu kumpa pressure na kisukari.Kumbe hunipendii utalijua jiji bibiee wala sina shida hamnilishi ,wala kunipa pumziii. So jipe shughuli mkibaki bakini watu wachungu hata kumuwish mtu happy women 's day hamuwezi hadi makonda anatoa nyama za bureee . Woi
Hiki kibabu chako kimalaya siku za sikukuu kinaenda kumliwaza mwingine leo gakijaniambia heri ya sikukuu ya wanawakeee hakunipi faida ni pressure tuHumpendi babu yangu! Unataka tu kumpa pressure na kisukari.