Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Kwenye kitufe Cha like hakuna emoji ya kukonyeza 😜Mwili hauruhusu… mimi ni bonge sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye kitufe Cha like hakuna emoji ya kukonyeza 😜Mwili hauruhusu… mimi ni bonge sana
Inahusiana nini na ubonge wangu?Kwenye kitufe Cha like hakuna emoji ya kukonyeza 😜
Kwamba umedanganya... Na ukadanganye wengine kwamba wewe bonge...Inahusiana nini na ubonge wangu?
Kwani siku hizi kg 87 haziingii kwenye kuitwa bonge?Kwamba umedanganya... Na ukadanganye wengine kwamba wewe bonge...
Inawezekana ukawa na mifupa yenye uzito wa kg 87 ila nje kaumbo kama mwanafunzi wa form 2Kwani siku hizi kg 87 haziingii kwenye kuitwa bonge?
😂😂😂😂 form two ya memkwa auInawezekana ukawa na mifupa yenye uzito wa kg 87 ila nje kaumbo kama mwanafunzi wa form 2
😊😊 maana watoto wa siku hizi mnajiona mmkekua hehehe😂😂😂😂 form two ya memkwa au
Mimi naelekea uajuza aisee😊😊 maana watoto wa siku hizi mnajiona mmkekua hehehe
Utafika tu huko huna haja ya Kuuombea...Mimi naelekea uajuza aisee
You're sweet lyk pipi DepalMtoto mwenye utu na utulivu Saint Anne View attachment 2196793
Itakuwa unataka kuzifungua!nipo kwenye site zilizofungiwa