MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Will you stay with me?
Miaka mingi nyuma...
Yes kipindi tupo high school 🤣🤣Miaka mingi nyuma...
Miaka mingi nyuma...
Mwaka 1995 nipo form six huko Iringa... Nadhani ulikuwa mpya tu kabla Brandy hajaanza kuburuza vijana
Iringa ulisoma Mkwawa ?Mwaka 1995 nipo form six huko Iringa... Nadhani ulikuwa mpya tu kabla Brandy hajaanza kuburuza vijana
1995 nipo form twoMwaka 1995 nipo form six huko Iringa... Nadhani ulikuwa mpya tu kabla Brandy hajaanza kuburuza vijana
Ndiyo mkuu.Iringa ulisoma Mkwawa ?
Niite baba mdogo basi [emoji23][emoji23][emoji23]1995 nipo form two
Salama kabisa ndugu yangu.......Ndiyo mkuu.
Habari ya siku nyingi kiongozi?
Kabisa aisee......Niite baba mdogo basi [emoji23][emoji23][emoji23]
Kabla ya Mkwawa nimetoka Lugalo... Kutoka Kihesa,katishia Mtwivila kwenye vitindi hadi Makanyagio vilabuniSalama kabisa ndugu yangu.......
Kwahiyo kule Ikonongo, Mtwivila, Makanyagio, Mawelewele unakufahamu sana ???
Ba mdogo😊Niite baba mdogo basi [emoji23][emoji23][emoji23]