SEACOM outage: ISP wa Tanzania bado sana! Internet yawa kero kwa watumiaji

Benzoic

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
421
Reaction score
149
Inashangaza kusikia eti leo mkongo wa SEACOM umekatika Misri then all providers wako down.

Hivi hakunaga backup link kama Satellite na nyinginezo? Yaani nchi nzima inasimama kisa SEACOM kuwa down.

This is bullshit!
 
Eh' kwaiyo wanaotumia BQL, raha pamoja na Power computer nao hakuna kitu?
 
Inashangaza kusikia eti leo mkongo wa Seacom umekatika Misri then all providers wako down. Hivi hakunaga backup link kama Satellite na nyinginezo. Yaani nchi nzima inasimama kisa Seacom kuwa down. This is bullshit. # Colorado Out!

mkuu una ushahidi na unayosema? Mbona mi toka asubuhi nipo net na hamna tofauti yoyote?

Tatizo ni la watu wa tigo tu
 
Ona msg wanazotuma TIGO sasa "Ndugu Mteja, mtandao wa intanet wa tiGO umesharejeshwa ila tatizo halijaisha. Mafundi wetu wanaendelea na jitihada kurekebisha tatizo hili kabisa."
 
mkuu una ushahidi na unayosema? Mbona mi toka asubuhi nipo net na hamna tofauti yoyote?

Tatizo ni la watu wa tigo tu

hapana tangu jana mchana net zilikuwa zinasumbua kwa mitandao yote mi natumia airtel, vodacom, tigo na zantel lakini zote zilinitoa nje
 
Vodacom wako hewani mimi natumia simu yangu hapa kwa line ya Vodacom....
 
hapana tangu jana mchana net zilikuwa zinasumbua kwa mitandao yote mi natumia airtel, vodacom, tigo na zantel lakini zote zilinitoa nje

mkuu hebu chunguza tena hio voda maana mimi jana mpaka leo nina voda na sjatoka net hata dk 1 nipo on mda wote
 
Na hata mimi Nakamua Tu Kwa Voda Mwanzo Mwisho Na speed Iko Fresh tu!
 
Kwa sasaivi voda imekubali lakini airtel na tigo bado nikijaribu kutuma sms zinagoma na kuingia net zinaniandikia service not available nikafikiria labda phone yangu nikaimaster restore ikafuta kila kitu kuanzia sms mpaka setting kisha nikaziomba upya lakini sikuambulia chochote zaidi yakufuta vi2 vyangu
 
kuna isp wengine wako hewani since wanatumia satelite kama backup.kwa wale msiokuwa na backup mtaisoma namba hasi hadi mjifunze na kuacha kuwa wabahili.
 
Vodacom wako juu sana...hakuna tofauti yeyote unayoweza gundua!
 
ni hivi wandugu mkongo unaopita baharini wa seacom na ule wa eassy imekatwa baharini na nchi kavu huko misri.na hivyo kusababisha huduma za mtandao kwa nchi zetu za afrika mashariki kukosa huduma.ila kuna uwezekano wa seacom kurudisha mawasiliano kuzungukia south africa na kisha kuunganishwa na cable zinazopita kwenda afrika magharibi kisha ulaya hii route inahitaji malipo ya nyongeza ndio upewe huduma hivyo operators wanatakiwa kulipia.uwezekano wa kurudi mtandao kama kawaida ni baada ya wiki mbili hivi kwani kuunga cable baharini si shughuli ndogo
 
kuna isp wengine wako hewani since wanatumia satelite kama backup.kwa wale msiokuwa na backup mtaisoma namba hasi hadi mjifunze na kuacha kuwa wabahili.
hivi hii satellite inaweza kuwa na speed kubwa kiasi cha kufikia 6Mbps?
 
Afanaleki hata hii ya kubundi naona iko miguu juu kitu mwendo wa 20-50kb/s hata stream ya 240P inagoma goma dah.
 
hivi hii satellite inaweza kuwa na speed kubwa kiasi cha kufikia 6Mbps?

Hacha pumba mkuu Hiyo Guru haifiki ki hivyo kwanza nasikia wadau wamejitoa kiroho safi!!!
Anayepata 4mbps siku ya leo ajitokeze iwe wa kubundi au wa bundle full kujiachia mwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…