Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Afanaleki hata hii ya kubundi naona iko miguu juu kitu mwendo wa 20-50kb/s hata stream ya 240P inagoma goma dah.
Inashangaza kusikia eti leo mkongo wa Seacom umekatika Misri then all providers wako down. Hivi hakunaga backup link kama Satellite na nyinginezo. Yaani nchi nzima inasimama kisa Seacom kuwa down. This is bullshit. # Colorado Out!
ni kweli na kama unatumia moderm ya Airtel Unapata JF tu.Wanajamvi HEBU tufahamisheni, kunani? Si ipad, si iphone, si smartphone, laptop na desktop ndio kabisaaaaaaaaaa!!!! Unaenda kuoga ukirudi bado tu ukurasa haujafunguka, kulikoni? Very dissatisfied and disappointed.
sasa fikiria hadi leo hii TTCL hawana internet...kama ndio provider wako na hauna backup UMEUMIZWA mzee. Sisi hapa ofisini tuna wireless ya TTCL na vodacom at least Vodacom yuko upHizi habari za mkongo ni TTCL.
Bwana Kazaura wa TTCL hivi karibuni alisema wanaangalia uwezekano wa kupata backup kutoka Afrika Kusini.
Nafikiri mambo ya Cost Benefit Analysis yanahusika.
Ni huku Arusha, ndipo makao makuu ya wauza dadii