Searching

Kiazi kitamu,uko wapi?possibly unafanana na mimi!Nijibu.
 
@ daffi mi nipo Dar.. Wewe upo wapi?? I know someone with that same name

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Adakiss sidhan kama kuna sehemu nimeomba mtu wa kulea mwanangu.. Maana hilo nalimudu mwenyewe
Baba mtoto yuko wapi?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
adakiss "yupo"

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

chagua vizuri hizo pm zitakapokuja... ,wanaume sio wa kucheza nao,usidhanie historia yako kuwa umeumizwa in the past ataipa kipaumbele,yeye kwake hio ni hadith,atakugegeda vizuri akuache,uendelee kuteseka moyoni kwa kifupi nilitaka kukuambia usionyeshe mapungufu yako mtandaoni,,,kuna wanaume watatake advantage na vulnarability wakuumize zaidi
 
Kwani zamani ulikuwa na furaha gani ambayo sasa hivi huna?
Kama hujui, hiyo uliyonayo ndiyo furaha vinginevyo unajitafutia matatizo humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…