Sebastian haller yupo hoi kitandani

Sebastian haller yupo hoi kitandani

United ya Ferguson

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
3,132
Reaction score
6,353
Duh hii habari nimekutanayo some where
Yule mchezaji wa ivory coast aliyekipiga ajax msimu uliopita hadi akakaribia kuchukua kiatu Cha mfungaji Bora wa champions league Sebastian haller yupo kitandani akisumbuliwa na saratani ya korodani

Jamaa kama ajax asingetoka mapema msimu uliopita Kweny UEFA basi alikua na uwezekano mkubwa wa kubeba kiatu Cha dhahabu

Baada ya kukiwasha sana kweny UEFA msimu uliopita na ajax Dortmund wakamsajili kwaajili ya msimu wa 2022/23 lakin Kwa bahat mbaya baada ya mda kidogo kupita kagundulika ana cancer ya korodani hadi xaxa jamaa yupo kitandani

Wale Wapenzi wa mpira tumuombe aweze kurejea kweny soka issue kama hii iliwah mtokea mchezaji wa zamani wa new castle united Jonas Gutierrez ila jamaa alipigawaniwa hadi akarejea uwanjani


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
View attachment 2337413
 
Duh hii habari nimekutanayo some where
Yule mchezaji wa ivory coast aliyekipiga ajax msimu uliopita hadi akakaribia kuchukua kiatu Cha mfungaji Bora wa champions league Sebastian haller yupo kitandani akisumbuliwa na saratani ya korodani

Jamaa kama ajax asingetoka mapema msimu uliopita Kweny UEFA basi alikua na uwezekano mkubwa wa kubeba kiatu Cha dhahabu

Baada ya kukiwasha sana kweny UEFA msimu uliopita na ajax Dortmund wakamsajili kwaajili ya msimu wa 2022/23 lakin Kwa bahat mbaya baada ya mda kidogo kupita kagundulika ana cancer ya korodani hadi xaxa jamaa yupo kitandani

Wale Wapenzi wa mpira tumuombe aweze kurejea kweny soka issue kama hii iliwah mtokea mchezaji wa zamani wa new castle united Jonas Gutierrez ila jamaa alipigawaniwa hadi akarejea uwanjani


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
View attachment 2337413
Kabadilika sana. Nimeona picha zake Twitter
 
Duh hii habari nimekutanayo some where
Yule mchezaji wa ivory coast aliyekipiga ajax msimu uliopita hadi akakaribia kuchukua kiatu Cha mfungaji Bora wa champions league Sebastian haller yupo kitandani akisumbuliwa na saratani ya korodani

Jamaa kama ajax asingetoka mapema msimu uliopita Kweny UEFA basi alikua na uwezekano mkubwa wa kubeba kiatu Cha dhahabu

Baada ya kukiwasha sana kweny UEFA msimu uliopita na ajax Dortmund wakamsajili kwaajili ya msimu wa 2022/23 lakin Kwa bahat mbaya baada ya mda kidogo kupita kagundulika ana cancer ya korodani hadi xaxa jamaa yupo kitandani

Wale Wapenzi wa mpira tumuombe aweze kurejea kweny soka issue kama hii iliwah mtokea mchezaji wa zamani wa new castle united Jonas Gutierrez ila jamaa alipigawaniwa hadi akarejea uwanjani


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
View attachment 2337413
Usijali yupo ulaya vilabu kule vinajua majuku yao ...ingekuwa africa ndio anaachwa ateseke mwenyewe.
 
Duh hii habari nimekutanayo some where
Yule mchezaji wa ivory coast aliyekipiga ajax msimu uliopita hadi akakaribia kuchukua kiatu Cha mfungaji Bora wa champions league Sebastian haller yupo kitandani akisumbuliwa na saratani ya korodani

Jamaa kama ajax asingetoka mapema msimu uliopita Kweny UEFA basi alikua na uwezekano mkubwa wa kubeba kiatu Cha dhahabu

Baada ya kukiwasha sana kweny UEFA msimu uliopita na ajax Dortmund wakamsajili kwaajili ya msimu wa 2022/23 lakin Kwa bahat mbaya baada ya mda kidogo kupita kagundulika ana cancer ya korodani hadi xaxa jamaa yupo kitandani

Wale Wapenzi wa mpira tumuombe aweze kurejea kweny soka issue kama hii iliwah mtokea mchezaji wa zamani wa new castle united Jonas Gutierrez ila jamaa alipigawaniwa hadi akarejea uwanjani


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
View attachment 2337413
Hio picha ya pili sio yeye
 
Taarifa yako nzuri imeharibiwa kwa kuandika xaxa badala ya sasa badilika mkuu hzo sio pigo za jukwaa hili labda uandike mmu hizo pigo doesn't make sense next time try to fix it ni hayo tu.
 
Taarifa yako nzuri imeharibiwa kwa kuandika xaxa badala ya sasa badilika mkuu hzo sio pigo za jukwaa hili labda uandike mmu hizo pigo doesn't make sense next time try to fix it ni hayo tu.
Wew nani kakwambia ukitumia neno xaxa na ukitumia Sasa neno moja .sahihi na neno jingine halipo sahihi kasome kwanza English mophology pitia kipengele Cha word formation process ,ukitoka apo pitia types of meaning ili ujione ulivo mpumbavu afu ukiona ujaelewa pia pitia kipengele Cha semantics utaelewa kidogo mambo ya kupangia maneno ya kutumia wapangie watu ambao hawajasoma linguist mbuzi we

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wew nani kakwambia ukitumia neno xaxa na ukitumia Sasa neno moja .sahihi na neno jingine halipo sahihi kasome kwanza English mophology pitia kipengele Cha word formation process ,ukitoka apo pitia types of meaning ili ujione ulivo mpumbavu afu ukiona ujaelewa pia pitia kipengele Cha semantics utaelewa kidogo mambo ya kupangia maneno ya kutumia wapangie watu ambao hawajasoma linguist mbuzi we

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Inaonekana huna mda mrefu umemaliza form four maana ndo wanaandika hvyo mi nimekukumbusha tu ila kama unaona sawa endelea mkuu na uandishi wako
 
Back
Top Bottom