NDESSA
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 1,946
- 1,796
Sakata la Gardner kurudi clouds lilkanifanya nione Unaweza kuwa na information nzuri kutoka ndani ya Mawingu.Kwahiyo huku kuniita kwako una maana mimi ndiyo mbea sana humu au? Shika adabu yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sakata la Gardner kurudi clouds lilkanifanya nione Unaweza kuwa na information nzuri kutoka ndani ya Mawingu.Kwahiyo huku kuniita kwako una maana mimi ndiyo mbea sana humu au? Shika adabu yako.
Clouds bwana hadi fundi AC naye ni inshomile.Nimesikia sasa ile nafasi ya ya Sebastian Maganga, Meneja vipindi wa Clouds Fm Ruge amempa muhaya mwenzake Shaffih Dauda.
Ina maana Sebastian Maganga wamemtimua ama ni vipi?
Dah! Kumbe ndiyo maana jamaa anajifanya kila kitu anajua tu.Ulikuwa hulijui hilo mkuuu?!!!
Sakata la Gardner kurudi clouds lilkanifanya nione Unaweza kuwa na information nzuri kutoka ndani ya Mawingu.
Samahani kwa usumbufu uliojitokeza.Kwahiyo watu wote tuliopo humu umeniona mimi tu kuwa ndiyo mpata taarifa mkuu za hao mawingu? acha hizo wewe!
Samahani kwa usumbufu uliojitokeza.
Au Mkuu wa wanaume wa Dar....?!?!Kwahiyo huku kuniita kwako una maana mimi ndiyo mbea sana humu au? Shika adabu yako.
Ila mkuu kiukweli jamaa angechelewa kukuita basi mimi ningekuita muda mrefu.Na umenisumbua kweli mkuu ila yameisha na endelea kuhabarika, kuburudika na kuchangia michango JF. Tupo pamoko!
Kusaga kahamia Dubai,anaendesha clouds internationalNa Kusaga kaenda wapi?
Muhaya huyoShaffie Dauda ni Muhaya?...
Kusema Ruge kachukua nafasi ya Kusaga ni sawa na kusema Joyce Mwavile kachukua nafasi ya Dr.R.Mengi!Seba kachukua nafasi ya Ruge na Ruge kachukua nafasi ya Kusaga.
Hapana wewe si mmbea ila wewe ni popomaKwahiyo huku kuniita kwako una maana mimi ndiyo mbea sana humu au? Shika adabu yako.
Eti wanamesema imebahinika wewe ni mwanaume wa DarKwahiyo huku kuniita kwako una maana mimi ndiyo mbea sana humu au? Shika adabu yako.
yes, shafi kajuna daudShaffie Dauda ni Muhaya?...
GENTAMYCINE ujue watu wanakukubali usichukie,kama bado uko bed amka piga pushup nane urudi tena bed😀😀😀😀😀😀😀.
Eti wanamesema imebahinika wewe ni mwanaume wa Dar
GENTAMYCINE ujue watu wanakukubali usichukie,kama bado uko bed amka piga pushup nane urudi tena bed