Sebastiani Ndege ni Jembe

Aliyemrithi Dr ndege pale clouds ni bonge la tapeli! Anaitumia clouds kwa manufaa binafsi bila uongozi wa clouds kujua! Si unajua swaga za matapeli? Shame on Dr maro! Tamaa ya pesa na utajiri wa haraka haraka vimemfanya aisaliti taaluma yake ya u Medical Dr! Dr Ndege alikuwa mwadilifu, Dr Isaac!
 
Ni mtoto wa kambo wa Wasira, yani baada ya baba yake mzazi kufariki mr.Ndege ndipo mama yake alipo olewa tena na Stephen Wasira.

Pesa yake ni extension ya pesa ya baba yake na juhudi Binafsi ...sidhani Kama mnayoongea hapa ni Kweli ..kwakuwa ..Huyo Ghati sio mama yake Bali alikuwa mama yake wa kufikia ...so Wassira kamuoa ..mama yake wa kufikia..so am not sure Kama relations itakuwa such easy ...labda badaye kabisa aje afaidike kupitia Ndugu zake ambao baba yake Alizaa na " mke " wa Wassira
Wassira naye is another story ..Kwani Wakati alipochoka mkewe ambaye ni..Kuna Wakati alikuwa mfanyakazi wizara ya afya Alimtosa ...inawezekana wana sababu Zao ..na kidini bado ni mkewe ...wametengana tu
 

Hana juhudi binafsi ni mwizi tu..uliza uambiwe anavokwiba besa barrick gold za uwakala wa insurance ndii utajua extension sijui makorokoro gani
 
Enheheheheh kweli ni jembe,jana kwenye besidei nae kafanya yake!
 
Reactions: SDG
Hana juhudi binafsi ni mwizi tu..uliza uambiwe anavokwiba besa barrick gold za uwakala wa insurance ndii utajua extension sijui makorokoro gani

Nilijua tuuuu JF ingefungua kitengo chake cha FBI

Watu wamezunguka weeee sasa webgine wameamua kuachana na status quo sasa wanafunguka
 
Nilijua tuuuu JF ingefungua kitengo chake cha FBI

Watu wamezunguka weeee sasa webgine wameamua kuachana na status quo sasa wanafunguka

Kawaida yao jamaa kapata tenda y mgodini imemtoa toka 2010 leo ndio wamemkumbuka
 
Huyu in jembe kweli. Kijana amezaliwa kwenye maisha ya kitajiri kasoma vizuri mpaka kuwa Dr. Kaendeleza kampuni ya marehemu baba take mz. Ndege. Kakulia kinondoni vijana. Kwa kweli nimfano Wa kuigwa. Hata anakula lakini kazi za mikono yake zinaonekana.
 
Mzee ndege ndiye aliyeanzisha mambo ya insuarance mwanza miaka hiyi nadhani alipiga Sana pesa
 
Natafuta wimbo wa Dully Sykes ft. Sebastian Ndege
 
EBANA EEE. NIME GUNDUA KUNA WATU WANA WEZA KUKUJUA ZAIDI YA UNAVYO JIJUA WEWE... HAYA MASWALA YA NDANI YA MTU HUWA MNA YAJUAJE WADAU?? ETI MTU YUKO makambako Iringa. Lakin ana uwezo wakukupa CV ya mtu flani alie Mwanza! Balaa sana " I know you than you know you" balaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…