Sebastiani Ndege ni Jembe

Wewe sasa unamjua vizuri. Ndio maana kuna mtu hapo juu nilikuwa namuuliza maswali anarukaruka tu.
 
Ukitaka kujua mambo yako ya siri yako wazi mtu mmoja aweke picha yako halisi na jina then aombe wasifu wako him JF Umeisha
 
Wakongwe lengo la kuanzisha huu uzi sio kutaka kumchimba huyu mtu lakini ni kujaribu kuona ni jinsi gani vijana tunaweza fuata nyayo zake

Jembe ni jembe ni mtu ambaye anaonekana sana kwenye mitandao ya kijamio na mara nyingi anaonekana ni mtu mwenye kipato cha juu

Inaonekana no mtu ambaye ana akili sana za maisha na hii ni baada ya watu mbalimbali kumpost wakimsifia kuwa ni "the brain"

Swali ni kwamba huyu jembe ni jembe ni nani..? ametokea wapi? biashara zake ni zipi..? na strategies alizopitia katika kufanya biashara zake ni zipi ili vijana tuweze kufuata nyendo zake ili na sie tuweze kufanikiwa kimaisha

Naomba kuwasilisha
 
Ndiyo kwanza namskia leo, embu dadavueni na picha yake tumfahamu..
 
Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
 
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] soma hapo
Ujanja upi Mkuu?

 
Hii ulivyojibu, ni kama uliwahi kuwa mtumishi wake, then hajakulipa miezi minne.
Hahahaha
 
Pale mtz anapokufaham zaid ya wewe unavojifaham
 
Umeandika kichuki sana, hana jema hata moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…