Sebastiani Ndege ni Jembe

Sebastiani Ndege ni Jembe

Sebastian Ndege ni mtoto wa Casmir Bigacho Ndege Moja ya Mawakala wa bima wa mwanzo kabla na baada ya Azimio la Arusha.

Alianza na uwakala akiwa Mwanza na badaye Dar es Salaam kipindi hicho ikiwa Ndege Insurance Agency na badaye Ndege Insurance Brokers.

Dr Sebastian Ndege kitaaluma ni Tabibu (Doctor of Medicine) alihitimu Kati ya 2003/2004 Chuo Cha Muhimbili na kufanya Internship Mwananyamala.

Baba yao alimwaacha Mama wa kambo alipofariki na ambaye baada ya muda mfupi alikuja kuwa mwandani wa Mzee Wasira.

Dr Sebastian Ndege pamoja na wanafamilia wenzake hawana mahusiano mazuri na Mzee Wasira kwani wanadhani Mzee Wasira alikuwa anamcheat Baba yao pindi akiwa hai maana wawili hao ni marafiki wa karibu.

Dr Ndege kifupi ni mtafutaji pindi anachukua ofisi ya Baba yake ilikuwa Kama a dead Company na yeye akaisimamisha na kamua kusomea Postgraduate ya Risk Management IFM.

Ndege anayehusishwa na NIDA Ni Asteri Ndege Wana undugu lakini sio wa tumbo Moja na hata mtoto wa Mama yao wa kambo Amani Ndege anajishughurish na bima kupitia Kampuni ya Mama yake Ghati Insurance Brokers.

Pamoja na bima, Band, Hotel kuna biashara nyingi Dr Ndege anajishughulisha nazo
Wewe sasa unamjua vizuri. Ndio maana kuna mtu hapo juu nilikuwa namuuliza maswali anarukaruka tu.
 
Ukitaka kujua mambo yako ya siri yako wazi mtu mmoja aweke picha yako halisi na jina then aombe wasifu wako him JF Umeisha
 
Wakongwe lengo la kuanzisha huu uzi sio kutaka kumchimba huyu mtu lakini ni kujaribu kuona ni jinsi gani vijana tunaweza fuata nyayo zake

Jembe ni jembe ni mtu ambaye anaonekana sana kwenye mitandao ya kijamio na mara nyingi anaonekana ni mtu mwenye kipato cha juu

Inaonekana no mtu ambaye ana akili sana za maisha na hii ni baada ya watu mbalimbali kumpost wakimsifia kuwa ni "the brain"

Swali ni kwamba huyu jembe ni jembe ni nani..? ametokea wapi? biashara zake ni zipi..? na strategies alizopitia katika kufanya biashara zake ni zipi ili vijana tuweze kufuata nyendo zake ili na sie tuweze kufanikiwa kimaisha

Naomba kuwasilisha
 
Ndiyo kwanza namskia leo, embu dadavueni na picha yake tumfahamu..
 
Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
 
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] soma hapo
Ujanja upi Mkuu?

Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
 
Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
Hii ulivyojibu, ni kama uliwahi kuwa mtumishi wake, then hajakulipa miezi minne.
Hahahaha
 
Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
Pale mtz anapokufaham zaid ya wewe unavojifaham
 
Daktari mmoja ambaye hakupata leseni ya kutibu watu akakimbilia kwenye utangazaji, baada ya baba yake kufariki akawadhurumu nduguzake kampuni ya bima ya ndege na kuifanya yake binafsi na kwenda kuwekeza huko mwanza akiwa na matarajio ya kushika kama clouds ilivoshika jijini alianza kwa mbwembwe mara kumleta Neyo na wasanii wengine lakini show zake zimebuma. Hoteli aliyojenga mwanza wateja ni mpakaa weekend alikosea location huku redio yake ikishindwa kusikika hata misungi
Umeandika kichuki sana, hana jema hata moja?
 
Back
Top Bottom