Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuu jina ndege huwa ni watu wa mara sio wasukuma kijana.Jaman wasira na ndege hawana uhusiano huyu ndege ni msukuma wasira sijui hata kabila lake
Mama yake wa kambo, sio mama mzaziNi mtoto wa kambo wa Wasira, yani baada ya baba yake mzazi kufariki mr.Ndege ndipo mama yake alipo olewa tena na Stephen Wasira.
Lol. Mcheck Instagram @jembenijembeJamani picha yake tafadhali
Huyu jamaa muda siyo mrefu atakuwa nyyma ya Nondo.Huyu jamaa ni mtu poa sana Alikuwa anaendesha kipindi.cha njia panda clouds fm akiwa na rafik yake Dr Isack Maro alisaidia watu wengi sana kwenye kipindi chake, pia alikuwa doctor wa wanawake Muhimbili na ni mmliki wa skylite band, ndege insurance na Jembe ni Jembe. big up to him
Isije kuwa unamchsnganya na mwenzie.....Huyu jamaa muda siyo mrefu atakuwa nyyma ya Nondo.
Report ya CAG ya juzi 2015/2016 imeonesha huwa anapiga hela chafu BOT kupitia Kampuni yake ya Bima.
Report ime recommend hela zaidi zote zirudishwe BOT.
Ulizia. Ndie yyIsije kuwa unamchsnganya na mwenzie.....
Mwenzie unajua yuko wapi?Ulizia. Ndie yy
Sijui. Hiyo ni topic hata hapa JF ipo. Mumiliki wa Jembe FM ndie pia mmiliki wa Bima.Mwenzie unajua yuko wapi?
Reuben Ndege (Ncha kali) yule jamaa ni Mkenya hawana uhusiano wowoteNi ndugu na Reuben Ndege au ni majina tu yanafanana?
Ncha kali ni mkenya?Reuben Ndege (Ncha kali) yule jamaa ni Mkenya hawana uhusiano wowote
Wewe ni mtoto kiumri. Uwe unaamkia humuAise hii ndio jf taarifa zinakuja kama mchezo mchezo tu kuna sikukuu moja mwaka juzi nilikuwa jembe ni jembe aliwaleta kundi la weusi jamaa yuko simple sana na pensi yake ya jinz na t-shirt leo ndio najua alishafanya kazi cloud
Hutaki sasa? Na ndiye bwana ake na Dina MariosNcha kali ni mkenya?