Sebastiani Ndege ni Jembe

Sebastiani Ndege ni Jembe

Jaman wasira na ndege hawana uhusiano huyu ndege ni msukuma wasira sijui hata kabila lake
 
Aise hii ndio jf taarifa zinakuja kama mchezo mchezo tu kuna sikukuu moja mwaka juzi nilikuwa jembe ni jembe aliwaleta kundi la weusi jamaa yuko simple sana na pensi yake ya jinz na t-shirt leo ndio najua alishafanya kazi cloud
 
Ni mtoto wa kambo wa Wasira, yani baada ya baba yake mzazi kufariki mr.Ndege ndipo mama yake alipo olewa tena na Stephen Wasira.
Mama yake wa kambo, sio mama mzazi
Mama take mzazi alishafariki
 
Huyu jamaa ni mtu poa sana Alikuwa anaendesha kipindi.cha njia panda clouds fm akiwa na rafik yake Dr Isack Maro alisaidia watu wengi sana kwenye kipindi chake, pia alikuwa doctor wa wanawake Muhimbili na ni mmliki wa skylite band, ndege insurance na Jembe ni Jembe. big up to him
Huyu jamaa muda siyo mrefu atakuwa nyyma ya Nondo.
Report ya CAG ya juzi 2015/2016 imeonesha huwa anapiga hela chafu BOT kupitia Kampuni yake ya Bima.
Report ime recommend hela zaidi zote zirudishwe BOT.
 
Huyu jamaa muda siyo mrefu atakuwa nyyma ya Nondo.
Report ya CAG ya juzi 2015/2016 imeonesha huwa anapiga hela chafu BOT kupitia Kampuni yake ya Bima.
Report ime recommend hela zaidi zote zirudishwe BOT.
Isije kuwa unamchsnganya na mwenzie.....
 
Aise hii ndio jf taarifa zinakuja kama mchezo mchezo tu kuna sikukuu moja mwaka juzi nilikuwa jembe ni jembe aliwaleta kundi la weusi jamaa yuko simple sana na pensi yake ya jinz na t-shirt leo ndio najua alishafanya kazi cloud
Wewe ni mtoto kiumri. Uwe unaamkia humu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom