Sebene linaponoga mambo huwa kama hivi!

Sebene linaponoga mambo huwa kama hivi!

Pombe sio chai,si baba yake mshkaji nanihii,ila kiatu na tigo mwaya mmm japo mdada anaonekana kuwa makini na mwenendo wa kiatu full kukicheck
 
Huyo predeshee asije akavua suruali hadharani jamani, mfadhaiko!!! Ila siku hizi mifadhaiko imepungua sana au ni kwa kuwa basi waTz tumeshazoea hvyo vimini, makalio ya kichina na vitopu? Enzi zile heshima ya mavazi ilikuwapo, hivyo akitokea mama na kimini chake au kalio la nguvu basi vidumu chama ndani ya chai maharage ilikuwa ni kawaida.
 
Back
Top Bottom