samakiurembo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2021
- 445
- 689
Mlichosikia ndicho kilichotokea baaada ya miez kadhaa kuzinduliwa na kufanyika kwa tuzo za mziki chin ya sebule sebule lilipewa baraka zote na na gavooo na head of the state huku gavoo ikitarajia na kutegemea sebule liwaunganishe wasanii wote kwa ukubwa naujumla wao
Bas sebule likaanda mchakato mchakato ukachakatikaaa weeeeee mchakato ulipofika kwa wazee wa janja janja wa mziki wa bongo maandish matatu ambao mda wote hawana uchafu mwilin mchakato ukadunda sebule likanuna na kukasirika sana
Sebule likiwa lina hasira likataka kumpachika jamaa mmoja ambae hajulikan umr wake wala rika lake maana kwenye ujana yupo mkimvalisha nguo za kitoto kwenye utoto yupo ukimpa suti na tai na miwan anakua kama mzee yaan haelewek na sio kueleweka haaminiki lengo lilikua kumpenyeza bwana huyu kuingia kwamgongo wa sanaaa maanahana elimu kwenye vyama hakubaliki
Sasa wasanii janja janja wakaanza kutema shit nying na wasanii wengine pia sebule likachukia sanaaa maana wasanii janjajanja ndio wamelishika game la bongo kila kona shughuli bila wao hainog hata sebule lilipoulizwa mbona janja janja hawapo sebelu ikakosa majibu zaid ya kukandia na sababu kibao
Sasa sebule limejibu mapigo kwa kuamua kupiga za chembe imeanza na kufungia kichupa cha mwali kutoka kule yanaponukia marash ya karafuu maana sababu wanazotoa sebule maake apoo kwanza uchekee hahahaaa.
Mapigo saba yanakuja kule maandish matatu kama hasira za kugomea tuzo bila sababu zilizo waz wakat wao ni wakubwa na wanapendwa na watu wao ndio chanzo cha tuzo kua za kawaida sanaa na unpublicity
Bas sebule likaanda mchakato mchakato ukachakatikaaa weeeeee mchakato ulipofika kwa wazee wa janja janja wa mziki wa bongo maandish matatu ambao mda wote hawana uchafu mwilin mchakato ukadunda sebule likanuna na kukasirika sana
Sebule likiwa lina hasira likataka kumpachika jamaa mmoja ambae hajulikan umr wake wala rika lake maana kwenye ujana yupo mkimvalisha nguo za kitoto kwenye utoto yupo ukimpa suti na tai na miwan anakua kama mzee yaan haelewek na sio kueleweka haaminiki lengo lilikua kumpenyeza bwana huyu kuingia kwamgongo wa sanaaa maanahana elimu kwenye vyama hakubaliki
Sasa wasanii janja janja wakaanza kutema shit nying na wasanii wengine pia sebule likachukia sanaaa maana wasanii janjajanja ndio wamelishika game la bongo kila kona shughuli bila wao hainog hata sebule lilipoulizwa mbona janja janja hawapo sebelu ikakosa majibu zaid ya kukandia na sababu kibao
Sasa sebule limejibu mapigo kwa kuamua kupiga za chembe imeanza na kufungia kichupa cha mwali kutoka kule yanaponukia marash ya karafuu maana sababu wanazotoa sebule maake apoo kwanza uchekee hahahaaa.
Mapigo saba yanakuja kule maandish matatu kama hasira za kugomea tuzo bila sababu zilizo waz wakat wao ni wakubwa na wanapendwa na watu wao ndio chanzo cha tuzo kua za kawaida sanaa na unpublicity