Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Mkuu hapo mm Sina uzoefu ungenipa ushaur wa jumla jumla ambao ni mzuriUnatumia tiles za size gani 40x40cm or 50x50cm
Jibu haraka wewe mbowe!!
😆 anakuja kaka punguza hasiraUnatumia tiles za size gani 40x40cm or 50x50cm
Jibu haraka wewe mbowe!!
Mkuu JF wenye akili timamu bado wapo wengi sema ndo hawajiheshimu tuMkuu ingependeza kama ukampata fundi sahihi na mwenye uzoefu kazini ili akupatie idadi sahihi na sio kutegemea mafundi kutoka humu jamii forum hutopata kitu zaidi ya kejeli na dhihaka tu.
Sawa mkuu ila nataka kulala😆 anakuja kaka punguza hasira
Ok kama ni tiles za 40x40cm utaweka tiles 105 roughly box sita ni zitabaki.Mkuu hapo mm Sina uzoefu ungenipa ushaur wa jumla jumla ambao ni mzuri
Mwambie fundi akwambie Kila kitu Sisi tunakupanga tiles nzuri na bei TuWakuu naomba kujua sebule yenye vipimo hivo inaingia tiles box ngapi? Na nahitaji tiles ambazo ni affordable kwa mlala hoi lakin imara urembo SIO kipaumbele, vilevile gharama za ujenzi zote pamoja na mafundi
Karibuni kwa mchango wenu wadau
Sawa taja nzuri na zabei poaMwambie fundi akwambie Kila kitu Sisi tunakupanga tiles nzuri na bei Tu
Bei kwa boxOk kama ni tiles za 40x40cm utaweka tiles 105 roughly box sita ni zitabaki.
Weka 40cm x 40cm tiles mkuu
Hii ni serious sip utani
View attachment 3211854
Mbona nimeshakupa au haujaona replyUshauri wakuu
Location chalinzeTiles 40×40 box 9=tsh. 270000 wastani, grout kg 1=tsh.3000, tiles za scatting box 1=tsh.35000, mchanga ndoo kubwa fanya 15=tsh.__sijui uko wapi, maji pipa 1=tsh.__sijui kama unanunua au vipi, Cement 3=tsh.__sijui uko wapi, fundi haizidi tsh. 80,000/-. KARIBU.
Mkuu hesabu zako kuelewa inabd uwe na akili zaid ya eisteinMbona nimeshakupa au haujaona reply
Au umeleewa???
Futa 13 ni sawa na mita 3.93
Futa 14 ni 4.24
Unachukua 4.24 x 3.93 =16.7
Unachukua tile za 40cm
0.4 x 0.4 = 0.16cm
16.7 ÷ 0.16 =
Sebule yako inaWakuu naomba kujua sebule yenye vipimo hivo inaingia tiles box ngapi? Na nahitaji tiles ambazo ni affordable kwa mlala hoi lakin imara urembo SIO kipaumbele, vilevile gharama za ujenzi zote pamoja na mafundi
Karibuni kwa mchango wenu wadau
GoodOk kama ni tiles za 40x40cm utaweka tiles 105 roughly box sita ni zitabaki.
Weka 40cm x 40cm tiles mkuu
Hii ni serious sip utani
View attachment 3211854
Umenisaidia mpaka Mimi idumu jfTiles 40×40 box 9=tsh. 270000 wastani, grout kg 1=tsh.3000, tiles za scatting box 1=tsh.35000, mchanga ndoo kubwa fanya 15=tsh.__sijui uko wapi, maji pipa 1=tsh.__sijui kama unanunua au vipi, Cement 3=tsh.__sijui uko wapi, fundi haizidi tsh. 80,000/-. KARIBU.