Second batch UDOM 2014/15


nimekupata, ila bado kuna utata hata wewe mwenyewe unauona kwenye maelezo. ngoja tusubiri saa moja lijalo mfumo wao utaanza kufanya kazi, tutapeana feedback
 
Guys admission letter zipo tayari kwenye website
 
Hey guys ADMISSION LETTERS TAYARI KWA KUPAKULIWA KWA WALE WA UDOM PLZ
 
dah muda unakwenda mkuu sijui itakuwaje?? lakin hapa mbona kunamkakanganyiko kaka hata sielew
 
poa boi ngoja tuchukue na sie??bt kwa wale majina yao hawajayaona itakuwaje na wamechaguliwa hiyo institute niaje??
 
wakuu mbona kwangu inaandika username and password do not match or you do not have an account yet,shida ni ninii hapo?
 
jina limetoka kwenye chuo hucka au,coz watu kadhaa nimewashuhudia wanaandikiwa hvyo,hata mm b4 cjaliona jina batch two ilikuwa hvyo bt baada ya kuliona inakubal admission letter kuidownload jarib kuhakiki jina chuo hucka kwanza brother
 
jina limetoka kwenye chuo hucka au,coz watu kadhaa nimewashuhudia wanaandikiwa hvyo,hata mm b4 cjaliona jina batch two ilikuwa hvyo bt baada ya kuliona inakubal admission letter kuidownload jarib kuhakiki jina chuo hucka kwanza brother

kwene batch 2 coz niliyoomba haipo ila kwa upande wa tcu npo selected,mkuu hapo nifanye nin
 
hapo cwez kuwa na taarifa kamili bt may be watatoa batch three..so ni jambo la kusubir huku ukifuatilia new updates bt pia unaweza kuwapigia cmu coz b4 hawajatoa admission letters walitoa no zao cjui kama bdo zipo brother
 
wadau na wakuu zangu kwa wale ambao hamjaona majina yenu ingien kwenye web ya udom kunamajina yamewekwa yakiwa combined langu nimeliona.......ninajarbu kudownload bt inafika kipind inagoma so fanyen ku preview nikifanikisha nitawaletea wakuu
 
na pia nilitaka uliza kwa wale waliochaguliwa bachelor of education with ict wameishapata admssion letter??
 
wakuu mbona issue ya admission letters bado inagoma na jina nimeliona?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…