they say instute selected university of Dodoma simply ni upo kwenye selection ya university of Dodoma kwa ufahamu wangu tcu kazi Yao nikupeleka majina kulingana na chuo na sifa zako lakini chuo kikikukataa uwez kuwa institute selected utaambiwa ufanye tena selection ya round ya pili na unapokubaliwa ndo unakuwa institute selected lakini kupitia account ya tcu so kama ni institute selected mi nadhani nichuo kimekuafiki kwa sifa zako ndo mana tcu wametoa mfumo wanaouita admission result selection 2014/2015 yani kwa kiswahili tungesema umekuwa umeruhusiwa ktk uchaguz wa vyuo nadhani admission ni kama pass yakuingia chuo ebu angalia iyo maana vizuri sio urembo wa maneno na ukiingiza surname matokeo yanakuja inamaana iyo ni system...au vipi
nimekupata, ila bado kuna utata hata wewe mwenyewe unauona kwenye maelezo. ngoja tusubiri saa moja lijalo mfumo wao utaanza kufanya kazi, tutapeana feedback