Mimi ninakuambia ukweli kwamba; Mtu yeyote anayependa kutukana watu matusi ya NGUONI kama jinsi wewe unavyofanya, huyo kwa asilimia kubwa ni Mtoto wa Haramu, hiyo ndiyo kanuni.
Ipo hivi; inawezekana unajiona unaye baba mzazi na mama yako kakuambia huyo ndiye baba yako mzazi lakini inawezekana huyo asiwe ni baba yako mzazi na kama ni kweli ni baba yako mzazi basi alikupata kwa njia ya zinaa kwani tabia ya kutukana unayoionyesha inaashiria wewe ni Mtoto wa haramu.
Nasema hivyo sio kwamba nataka kukutusi jinsi unavyonitusi Mimi laa, bali nataka uachane na tabia hiyo ya kutukana matusi ya nguoni kwani kwa kufanya hivyo ni ishara ya UANAHARAMU.
Fanya tafiti utakuta mwanaharamu hupenda kutukana watu matusi ya nguoni, na hili ni somo sio kwako tu hata kwa watu watakaosoma hii post.
"The style of your insults depicts that you are a bastard."
انت ابن زانا