Second opposition politician killed in Tanzania


Mamamama maaiiiweee!! Aisei nilikua najiandaa kulala, haya mapicha yamenipotezea uzinginzi, hapana usiyeweke hivi kwenye mitandao, haifai kabisa maana yanachochea, bora ukapata ukweli kwanza nini kilitendeka haswa, aliuawa kwa sababu zipi, usichukue hatua kama hizi bila ukweli.
 
Fuatilia chanzo cha mauaji hayo kabla ya kuropoka. Huyo mtu alikuwa na mgogoro wa ardhi na huenda ndio umesababisha mauaji hayo.
We ndio yule kamanda wa police wa morogoro?
 
Kwa nini wauawe wa upinzani tu kwani hao walioko ccm hawana migogro mbona hatuskii wao wakiuliwa ???

Naomba jibu lako tafadhali
Wa kibiti mbona waliuwawa sana wa CCM, kwanini hamkukemea, tena mkawa mnacomment kufurahia wakiuwawa. Waliokufa kibiti ni wengi zaidi.
Look at that double standard, shame on you all
 
Awamu iliyopita, watu waliouwawa kwenye maandamano ni wengi sana, awamu hii haijafikia, tena ndio huyo wa kwanza ambae chadema wangefuata ushauri wa Magufuli wa kutwoandamana, mtoto wa watu asingekufa.
Wangapi wa ccm waliuwawa kibiti, wangapi wa upinzani wameuwawa so far, unapaswa kuja na data not mere words in writing without concrete proof
 
Wale wa Kibiti wa CCM wao si binadamu, mbona hamuwaweki hapa?
Who where accused kwa hayo mauaji yya kibiti ? mbona polisi walihamishia kambi huko na kudhibiti mara moja ....

Tangia matukio ya wanachadema umeskia hatua gani stahiki zilizochukuliwa kama siyo bla blah za funika kombe mwanaharamu apite ?

Au wao hawana haki na ulinzi wa jeshi lililoundwa na serikali ya ccm

Double standard are caused by the action and reaction of our goverment , poor them
Wa kibiti mbona waliuwawa sana wa CCM, kwanini hamkukemea, tena mkawa mnacomment kufurahia wakiuwawa. Waliokufa kibiti ni wengi zaidi.
Look at that double standard, shame on you all
 
Wtf man, you were not supposed to upload these pictures or share, ni sheria ya tcra hiyo, omba Mungu waku ignore, you're disrespecting the deceased, you're so dumb for doing this, you need to chill with that emotion ma niga.
 
Matukio ya chadema yameanza lini kwani, taja idadi ya waliouwawa, unaambiwa viongozi wa ccm zaidi ya 30 waliuwawa kibiti, ulishawahi kucomplain, au ulikuwa hujazaliwa.
Polisi walideal nao kimya kimya wakawafutilia mbali, imebaki story made ni siri yao. Sasa you need to leave it to the prestigious Tz police force, these waves too, will calm down.
Just do not assume the position of a judge, as if you're 100% sure.
Huenda ikawa ni chadema ndio waliorganize hayo mauaji, sasa wa ccm wameipata siri, ndio wanalipiza, can be anything.
Wanasemaga unapomnyoshea mtu kidole, vitatu vinakuelekea wewe.
 
Kuna tofauti ya Mauaji yanayotokea kwa muendelezo na Yale ya Mara Moja, Sasa Polisi wasinge Hamisha Kambi huko ingekuaje? Haya leo MTU kauliwa Moro Polisi wahamie huko, kesho singida wahamie huko huo utakua uchizi gani.. Chamsingi ni kukemea na sio kuhusisha kila Tukio na siasa ndo maana Serikali inakata tamaa na kuwaacha mfe..
 
Wtf man, you were not supposed to upload these pictures or share, ni sheria ya tcra hiyo, omba Mungu waku ignore, you're disrespecting the deceased, you're so dumb for doing this, you need to chill with that emotion ma niga.
If he would only listen to this advice. He needs to take down this pictures ASAP. Not for political reasons, but to atleast preserve some dignity for the departed soul. Man, this is a very misinformed step. Posting such pictures is not justifiable at all!
 
Kila siku nazidi kuwalaumu wazee wa hii nchi kutwa kwenda kusururisha nchi za wengine kwanini wasiwahi hapa mapema
 
Bila shaka hujaelewa dhima ya nilichokiandika

Sizungumzii aina gani ya hatua iliyochukuliwa na polisi nazungumzia ni hatua gani iliyochukuliwa ya hawa wauaji wa sasa

Huo ulikuwa ni mfano wa hatua iliyochukuliwa na jeshi la polisi na kuweza kudhibiti yale mauaji

Haya narudi kwenye hoja kuu tangia mauaji haya na kutekwa kwa wanachadema umeona ni hatua gani zilizochukuliwa , huoni kama majibu ya kuuma uma yanahalalisha uhusiano wa polisi na matukio haya kwa kuwa wao wana wajibu wa kulinda raia na mali zake

Kila siku ni uchunguzi tu usiokuwa na tamati ....
 
hahahaha! sio kama nacheka kwa kufurah laaaa naona unajidanganya kwan hata wewe utakufa na hauko salama km tunavyojiona wengine kuwa hatuko salama!
 
Tatizo Polisi wakiwa wanafanya uchunguzi mnaanza kuwaingilia na kuwakejeli, mfano Tukio la lissu, watu wanaropoka tu na kuipa Serikali wakati mgumu kufanya kazi, hata hao wahalifu wakitangazwa bado mtakuja mtasema Polisi ni Waongo wametunga stori we huoni hiyo ni kasoro Kubwa sana mlionayo?? Nikueleze tu hakuna kitu kibaya Kama kuingiza siasa kwenye jambo lolote lile ndo maana hata jeshini hawaruhusiwi kua mwanachama Wa Chama chochote kile..

Sasahv tunataka chama kimoja basi, tuone watauanaje maana hivi vyama vyama vya visiasa viko Ki maslah hata hayo mauaji yanaweza kua yanaratibiwa na viongozi Wa vyama vya Upinzani ili Ku gain popularity..
 
hahahaha! sio kama nacheka kwa kufurah laaaa naona unajidanganya kwan hata wewe utakufa na hauko salama km tunavyojiona wengine kuwa hatuko salama!
Amtakiaye baya mwenzie humfika yeye kwanza, kuwa makini..
 

Kwanza sijasema chochote kuhusu maandamano nimezungumzia mauaji na utekwaji wa watu kwa ujumla wake
Pili unasema huenda mauaji ya kibiti chadema ikawa wanahusika (imagination feeling) yani ni kitu unahis hisi tu bila kuwa na hakika

Sasa mi nakwambia mauaji ya wanachadema ni polisi wanahusika kwa nini ? Good example ni our beloved daughter Akwilina

Kulikuwa na haja gani kutumia silaha za moto kwa watu wasio hata na mawe ?? Kama hawakudhamiria kuua.. magari ya washa washa yalikuwa na kazi gani
Anyway inawezekana hujui hata taratibu za kuzuia maandamano

Tukio la tundu lissu kupigwa risasi , ni raia gani anayeweza kwenda eneo la makazi ya wabunge na ulinzi na kufanya tukio la namna ile asiye na mafunzo ya kijeshi na asikamatwe mpaka leo ?
 
Amtakiaye baya mwenzie humfika yeye kwanza, kuwa makini..
nadhan mkuu hujanielewa, Mimi Niko makin, na ndo maana nilimtahadhalisha niliomqouet kwenye koment yangu kwa kile alichowaombea wenzanke wafe tu! kwa hoja yake dhaifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…