Secret admirer; hii ipo jamani?

Mimi simlaumu sana huyo dada... hiyo ipo sana, kwani si kila mtu ana ujasiri kama mnavyofikiri, wengi wetu tupo hivyo kwa namna moja ama nyingine...
 
hiyo ipo sana jamani nimewai kupata mdada wa ivyo yalipomchinda alinieleza bayana na wakati huo nilikuwa nimependa mahali kupitiliza nikamwambia nipo engage aliumia sana na sikumwona tena na kanisa akahama
 
This is pathological na inabidi huyo dada atafute msaada fast. Tabia kama hizo zinaweza kukupelekea kuwa stalker au hata serial killer.... This is quite disturbing.


Missed you!

Whea av yu bin? Karibu!
 
hahahahaah ngoja nikutumie PM contact zote labda unaweza kumsaidia
 
mie nimeolewa mpendwa nakaribia kupata wajukuu.

Haijalishi best. Wazee wanatamani kweli kweli. Ukitaka nenda Mombasa au Arusha uone wenye vitukuu wanavyokimbilia Virasta vichafuchafu . Feelings hazina cha uzee wala nini.
 
mie nimeolewa mpendwa nakaribia kupata wajukuu.

Halafu haka 'kaugonjwa' ukikapata wakati umeolewa/umeowa ndio kanasumbua zaidi! Huyo dada anashangaza kweli yaani analilia 'mali' ya watu!
 
Haijalishi best. Wazee wanatamani kweli kweli. Ukitaka nenda Mombasa au Arusha uone wenye vitukuu wanavyokimbilia Virasta vichafuchafu . Feelings hazina cha uzee wala nini.

Am committed bwana nikiwa na feelings za hivyo itabidi nijitahidi ku-ignore
 
Hili ni jambo la kawaida kwa madada walio wengi. Kwa tamaduni za kiafrika inakuwa ni vigumu kwa mwanamke kumuapproach mwanaume na akijilengesha sana anaweza kuonekana hajatulia. I have similar experience, kuna mwalimu mmoja aliyekuwa jirani yetu alitokea kunizimia sana. Kwa kuwa tuliheshimiana kama majirani sikuwahi kuhisi kama alinimind alipokuja kunitazama nilipougua akaniletea juice, alipokuja ofisini kuomba msaada wa usafiri nikamwambia dereva ampeleke akasema angependa nimpeleke mimi, nk nk. Mpaka siku alipoamua kumueleza ukweli rafiki yangu wa karibu ambaye walikuwa wamezoeana. Kumbe mtu unaweza kupitwa na riziki hivi hivi........!!
 
hehehe hii stori yote ni kitu cha kawaida, kitu ambacho si cha kawaida ni hapo mdada alipoanza kulia na kutokuja kazini . mshauri ajiunge JF halaf amPM da sophy apate ile mikoba ya kuteka nyara waliomilikiwa.:bathbaby:
 
Msaidie wewe FL1 .nenda kamwambie huyo kaka kuhusu huyo dada anayempenda.Ili ajue moja kama Gender Sensistive
 
halafu haka 'kaugonjwa' ukikapata wakati umeolewa/umeowa ndio kanasumbua zaidi! Huyo dada anashangaza kweli yaani analilia 'mali' ya watu!

smu katakusumbuaje wakati tayari una mali yako binafsi ?????
Kaugonjwa mpaka unaugua ..no no no....
 
Msaidie wewe FL1 .nenda kamwambie huyo kaka kuhusu huyo dada anayempenda.Ili ajue moja kama Gender Sensistive
hehehe ukiisoma vizuri hii habari, ni kwamba huyo mdada alikuwa anamtuma FL1 akamwambie huyo mkaka (body lengueji), lakini FL1 ndo kwanza anatafuta ushauri JF. dah! sasa hapa mdada inabidi abadilishe lawyer tu kama FL1 hawezi.
 

Ambassador baada ya kuambiwa ukweli na huyo dada ulidumisha mila ama ikawaje hapo hujamaliza habari kamili??
 
hahahaha kama ulivyoshangaa ndivyo nilivyoshangaa De Novo:sick:

Nadhani FL, hupaswi tu kumshangaa. Hebu tueleze baadaye wewe ulimsaidiaje? au utamsaidiaje au ndo unaendelea kumshangaaa!!
 
Ambassador baada ya kuambiwa ukweli na huyo dada ulidumisha mila ama ikawaje hapo hujamaliza habari kamili??

Teh teh teh teh! Uchokozi huo sasa FL1. Ndo maana nikasema saa nyingine unaweza kupitwa hivi hivi kwa kuzubaa kwako. Anyway, sikupenda kumtesa mtoto wa watu bure na ku-misuse resource, kwa kuwa nilikuwa free na mtoto mwenyewe alikuwa analipa ilibidi nidumishe mila.
 
hehehe hii stori yote ni kitu cha kawaida, kitu ambacho si cha kawaida ni hapo mdada alipoanza kulia na kutokuja kazini . mshauri ajiunge JF halaf amPM da sophy apate ile mikoba ya kuteka nyara waliomilikiwa.:bathbaby:

hhahaha ndo hapo mie nikajiuliza hivi mapenzi ni ugonjwa ???
 
FirstLady1 unaweza kumsaidia mwenzako kwa kufikisha ujumbe kwa huyo bwana anayekuwa dmired.

By chance unaweza kukuta wote wawili ni secret admirers wa each other na wanaogopana tu, ukitekenya tu mambo msweno.

Kiranga du naona kama mtihani mgumu mie ...hebu ngoja na mie nijipe muda wa kufikiri nyie wanaume hamtabiliki kabisa niko na huyu binti hapa namchukua maelezo..
 
Msaidie wewe FL1 .nenda kamwambie huyo kaka kuhusu huyo dada anayempenda.Ili ajue moja kama Gender Sensistive

Mpendwa katika bwana itabidi unipe mbinu mbadala hivi akikataliwa si ndo atakufa huyu dada ..mapenzi gani haya ya kuuguzana .??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…